Abiria wapewa namba za simu kuzuia ajali
KAMATI ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, imetoa namba za simu kwa abiria wakati wakizindua kampeni yao ya ‘Abiria Paza Sauti’. Kampeni hiyo inayolenga kupunguza ajali wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, ilizinduliwa juzi katika stendi ndogo ya mabasi yaendayo mikoa ya Ipogolo, mjini Iringa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo524 Jul
Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Habarileo25 Nov
Namba zote za simu kusajiliwa upya
SERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMWEYgrZd-rSKrXYfBg49oiEbwWV6*hQJsFlyR9l4fQJxf6TWI*Sh0Of9Vb689vwA-JfgCcOt5k-mB*Gq9X91Ak/jack.jpg?width=650)
WOLPER ANAONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s1600/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?
10 years ago
Bongo512 Jan
Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu
10 years ago
CloudsFM14 Jan
MTU ASIYEFAHAMIKA AME’HACK’ NAMBA YA SIMU YA FID Q NA KUWATAPELI WATU PESA
Hivi karibuni zimeenea habari za mastaa wa Kibongo namba zao za simu kuwa ‘hacked’ tukio hilo lilishamkuta msanii Snura,ambapo kwa saa zisizozidi 48 tayari mastaa wawili wa Bongo Fleva namba zao zimekua hacked,ambao ni Ambwene Yesaya ‘AY’ na Fareed Kubanda ‘Fid Q’.
Mtu huyo asiyefahamika alihack namba ya simu ya FID Q na kuwapigia watu wake wa karibu msanii huyo na kuwakopa hela.