MTU ASIYEFAHAMIKA AME’HACK’ NAMBA YA SIMU YA FID Q NA KUWATAPELI WATU PESA
Hivi karibuni zimeenea habari za mastaa wa Kibongo namba zao za simu kuwa ‘hacked’ tukio hilo lilishamkuta msanii Snura,ambapo kwa saa zisizozidi 48 tayari mastaa wawili wa Bongo Fleva namba zao zimekua hacked,ambao ni Ambwene Yesaya ‘AY’ na Fareed Kubanda ‘Fid Q’.
Mtu huyo asiyefahamika alihack namba ya simu ya FID Q na kuwapigia watu wake wa karibu msanii huyo na kuwakopa hela.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Jan
Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu
10 years ago
Habarileo25 Nov
Namba zote za simu kusajiliwa upya
SERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.
9 years ago
Habarileo19 Dec
Abiria wapewa namba za simu kuzuia ajali
KAMATI ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, imetoa namba za simu kwa abiria wakati wakizindua kampeni yao ya ‘Abiria Paza Sauti’. Kampeni hiyo inayolenga kupunguza ajali wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, ilizinduliwa juzi katika stendi ndogo ya mabasi yaendayo mikoa ya Ipogolo, mjini Iringa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMWEYgrZd-rSKrXYfBg49oiEbwWV6*hQJsFlyR9l4fQJxf6TWI*Sh0Of9Vb689vwA-JfgCcOt5k-mB*Gq9X91Ak/jack.jpg?width=650)
WOLPER ANAONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s1600/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO