MATUMIZI SAHIHI YA SIMU KWA WENYE MICHEPUKO
![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLMmnFDcZSVyJywUp2KfKp6fZACYUib7gofOJ9VodKxQHoyrc342XfjyvP3n9xMhsPCw7tjctc93x6JKGGolVdF/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
JAMAA zangu wengi sana wanapata taabu kwa sababu ya simu. Kidude hiki ambacho kinatakiwa kitupunguzie shida katika maisha chenyewe ndicho kimekuwa shida kubwa. Mtu unakuwa huna raha kabisa shauri ya kidude hiki why? Jamani why? Kuna hii ishu ya kuwa na michepuko, kimsingi hili jambo ni gumu kumalizika, kwa hiyo sihangaiki kuwaambia watu waache, huko ni sawa na kukataza jua lisizame pia hayanihusu. Mtu anakuwa na mchepuko wake, na...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWENGI WENYE SIMU ZA GHARAMA MATUMIZI YAKE HAYAENDANI NA THAMANI- ISOC
Wadau wakiendelea kupata mafunzo kutoka kwa watoa mada wakati wa mafunzo hayo.
Katibu Mkuu wa Shirika la Internet Society Tanzania Chapter (ISOC) Pamela Chogo akijibu maswali ya wadau wa mtandao wakati wa mafunzo hayo.
Baadhi ya wadau wa masuala ya mtandao wakiwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama kwa watumiaji wa intaneti yaliyoandaliwa na Shirika la Internet Society Tanzania Chapter(ISOC)leo Machi 14 mwaka 2020.Mafunzo hayo yamefanyika wilayani kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wadau wa...
11 years ago
Michuzi16 Jul
Mafundisho: Matumizi sahihi ya Facebook kwa Wafanyabiashara
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/uhI4RXBiuKKeG9gM2jJYYBpKuJqKIsvUDPeg2aov2MqB8CvJmQNwDcfg-F8XBXtxuQnzxep0nd9a-sL2ww0LOktoFwMRsaK1SbPAMpvaBL9mNrK2UnwBvpbMXKHg=s0-d-e1-ft#http://www.dudumizi.com/images/Facebook-for-Small-Business-dudumizi.jpg)
Kwa kulitambua hilo, Dudumizi Technologies LTD inakuletea mafunzo juu ya njia na namna sahihi za kutumia Facebook kukuza na kuboresha Biashara.
Mafunzo haya yatakuwa ya wiki mbili, bila kukuchosha (tukitambua muda ni kitu muhimu kwa...
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya Corona: Barakoa ipi ni sahihi kwa matumizi?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NkjbzwV62zg/VZr5f8CDRRI/AAAAAAAHnZs/tVU7U7jMXm4/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MADIWANI ULANGA WAPONGEZWA KWA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA MAPATO.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxcDMj7E4Zs/VUD2KarkWWI/AAAAAAAHUGM/E4eETkhkpmA/s72-c/1.jpg)
BASATA, TCRA WATAKA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII KWA WASANII
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) mapema wiki hii wamelaani matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wasanii wakati wa programu ya Jukwaa la Sanaa iliyofanyika makao makuu ya Baraza hilo yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati akiwasilisha mada iliyohusu ‘Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii’, Meneja mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy alisema kuwa wasanii ni kioo cha jamii hivyo kwa...
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana
Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0084.jpg)
ELIMU DUNI NA ISIYO SAHIHI YA MATUMIZI YA KONDOMU INACHANGIA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KWA VIJANA
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’
MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....