Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUMIZI SAHIHI YA SIMU KWA WENYE MICHEPUKO

JAMAA zangu wengi sana wanapata taabu kwa sababu ya simu. Kidude hiki ambacho kinatakiwa kitupunguzie shida katika maisha chenyewe ndicho kimekuwa shida kubwa. Mtu unakuwa huna raha kabisa shauri ya kidude hiki why? Jamani why? Kuna hii ishu ya kuwa na michepuko, kimsingi hili jambo ni gumu kumalizika, kwa hiyo sihangaiki kuwaambia watu waache, huko ni sawa na kukataza jua lisizame pia hayanihusu. Mtu anakuwa na mchepuko wake, na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WENGI WENYE SIMU ZA GHARAMA MATUMIZI YAKE HAYAENDANI NA THAMANI- ISOC


Wadau wakiendelea kupata mafunzo kutoka kwa watoa mada wakati wa mafunzo hayo.
Katibu Mkuu wa Shirika la Internet Society Tanzania Chapter (ISOC) Pamela Chogo akijibu maswali ya wadau wa mtandao wakati wa mafunzo hayo.
 Baadhi ya wadau wa masuala ya mtandao wakiwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama kwa watumiaji wa intaneti yaliyoandaliwa na Shirika la Internet Society Tanzania Chapter(ISOC)leo Machi 14 mwaka 2020.Mafunzo hayo yamefanyika wilayani kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wadau wa...

 

11 years ago

Michuzi

Mafundisho: Matumizi sahihi ya Facebook kwa Wafanyabiashara

Katika dunia ya leo, kama wewe ni mfanyabiashara basi hauwezi epuka ushawishi wa mitandao jamii. Ingawa wengi wetu tumekuwa tukiitumia mitandao jamaa kwa ajili ya mawasiliano pekee, ila kuna mengi yanaweza kufanyika na kusaidia kukuza ufannisi wa biashara yako.
Kwa kulitambua hilo, Dudumizi Technologies LTD inakuletea mafunzo juu ya njia na namna sahihi za kutumia Facebook kukuza na kuboresha Biashara.

Mafunzo haya yatakuwa ya wiki mbili, bila kukuchosha (tukitambua muda ni kitu muhimu kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Barakoa ipi ni sahihi kwa matumizi?

Kuna vifaa vya kujikinga na corona kama barakoa, glovu,miwani lakini ni nani wanapaswa kutumia?

 

10 years ago

Michuzi

MADIWANI ULANGA WAPONGEZWA KWA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA MAPATO.

  Habari na picha na John NditiMKUU wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, Julai 6, 2015, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Ulanga, ambapo moja ya jukumu kubwa lilikuwa ni kulihutubia baraza la madiwani wa halmashauri hiyo , ambalo lilikuwa na jukumu la kupitia majibu ya hoja za ukaguzi kwa mwaka 2013/2014.Hata hivyo katika hotuba yake kwa madiwani hao kabla ya kuvunjwa kwa baraza hilo kupisha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, Mkuu huyo wa mkoa alitumia fursa hiyo kuwapongeza...

 

10 years ago

Michuzi

BASATA, TCRA WATAKA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII KWA WASANII

Na Mwandishi Wetu
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) mapema wiki hii wamelaani matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wasanii wakati wa programu ya Jukwaa la Sanaa iliyofanyika makao makuu ya Baraza hilo yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati akiwasilisha mada iliyohusu ‘Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii’, Meneja mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy alisema kuwa wasanii ni kioo cha jamii hivyo kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana

DSC_0084

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...

 

11 years ago

GPL

ELIMU DUNI NA ISIYO SAHIHI YA MATUMIZI YA KONDOMU INACHANGIA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KWA VIJANA‏

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye...

 

5 years ago

Mwananchi

Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?

Mipango ya dhambi nyingi tunafanyia kwenye simu siku hizi. Ndiyo maana wengine tunajitahidi kuhakikisha tunatunza simu kama mboni ya jicho, kwamba haiguswi zaidi na yeyote - zaidi yetu wenyew.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani