Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKUU WA SHULE ENDELEENI KUDHIBITI MICHANGO HOLELA-MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Machi 14, 2020.
Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, wakipiga makofi, wakati wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Ruangwa, Lindi. Machi 14, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

………………………………………

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MICHANGO HOLELA UFISADI WA ARDHI TATIZO KUBWA BUSANDA

Mhe. Lolesia Masele Bukwimba. BUSANDA ni miongoni mwa majimbo ya uchaguzi yanayopatikana mkoani Geita. Linasadikika kuwa moja kati ya majimbo makubwa hapa nchini na la kwanza kwa mkoa huo. Shughuli kubwa za wakazi wa jimbo hilo ni kilimo, ufugaji na biashara kwa baadhi ya maeneo kama Katoro. Busanda kuna mchanganyiko wa makabila mengi yakiwemo Wasukuma, Wazinza, Wasumbwa, Wajita, Wahaya na Wahangaza kwa uchache lakini wakazi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Wazuiwa chakula holela kudhibiti kipindupindu

WAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu wametahadharishwa kujikinga na kipindupindu, ugonjwa ulioingia kwa kasi wilayani humo kutoka wilaya jirani ya Kwimba mkoani Mwanza.

 

10 years ago

Michuzi

Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA


Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.

Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa

Chama cha Wafamasia (PST) juzi kilitoa taarifa kuhusu matumizi mabaya ya dawa yanayosababishwa na kuwapo kwa maduka holela ambayo hutoa dawa bila kuzingatia kanuni , maadili na taratibu za kitabibu na matokeo yake ni kuzorotesha afya za wananchi.

 

10 years ago

GPL

WAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO

Katibu mkuu wa Wizara ya Tamisemi Jumanne Sagini akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Serikali…

 

9 years ago

Habarileo

Halmashauri zakumbushwa shule kuachana na michango

HALMASHAURI za jiji la Dar es Salaam zimetakiwa kutenga fungu ili kusaidia kupunguza michango mashuleni na kuendana na agizo lililotolewa na rais kuhusu elimu kutolewa bure kuanzia mwaka 2016.

 

11 years ago

Mwananchi

Michango hii katika shule za msingi ni mzigo

Jana tulichapisha habari kuhusu malalamiko ya baadhi ya wazazi kutozwa kiasi kikubwa cha fedha kama michango ya watoto wao wanaojiunga na darasa la kwanza.

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WALALAMIKIA MICHANGO SHULE MSIMBAZI MSETO

Sehemu ya geti la Shule ya Msingi Msimbazi Mseto. BAADHI ya wazazi wenye watoto wanaosoma  Shule ya Msingi Msimbazi Mseto jijini Dar es Salaam wamelalamika  michango mingi shuleni hapo wakati hali yao ya maisha ni duni kwa kipato. Akizungumza na mtandao huu, mwenyekiti wa shule hiyo iliyoko Msimbazi Centre, jijini Dar e Salaam, January Lwambano,  alisema  utaratibu ulioko wa michango ni wa miaka minane na mara nyingi...

 

11 years ago

GPL

JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI

Darasa la muziki katika taasisi ya shule ya muziki Reutlingen,Ujerumani . Jhikoman akiwafundisha wanafunzi kutumia gitaa katika shule ya muziki Reutlingen.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani