Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MICHANGO HOLELA UFISADI WA ARDHI TATIZO KUBWA BUSANDA

Mhe. Lolesia Masele Bukwimba. BUSANDA ni miongoni mwa majimbo ya uchaguzi yanayopatikana mkoani Geita. Linasadikika kuwa moja kati ya majimbo makubwa hapa nchini na la kwanza kwa mkoa huo. Shughuli kubwa za wakazi wa jimbo hilo ni kilimo, ufugaji na biashara kwa baadhi ya maeneo kama Katoro. Busanda kuna mchanganyiko wa makabila mengi yakiwemo Wasukuma, Wazinza, Wasumbwa, Wajita, Wahaya na Wahangaza kwa uchache lakini wakazi wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAKUU WA SHULE ENDELEENI KUDHIBITI MICHANGO HOLELA-MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Machi 14, 2020.
Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, wakipiga makofi, wakati wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Ruangwa, Lindi. Machi 14, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

………………………………………

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Magonjwa ya macho ni tatizo kubwa’

WIZARA ya Afya imesema maradhi ya macho ni moja ya tatizo kubwa la afya ambalo limepewa kipaumbele na wizara hiyo ili kutoa matibabu kwa wananchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tatizo la chakula ni kubwa Somalia

Umoja wa Mataifa umeelezea viwago vya utapiamlo na hali ya usalama wa chakula nchini Somalia kama vilivyo vibaya

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la kupata haja kubwa

Ni tatizo linalokua kwa kasi kwa sasa kutokana na mfumo wa maisha yasiyokuwa na mazoezi ya kutosha, vyakula vya kisasa na kuacha vya asili na pia kuongezeka kwa magonjwa katika jamii mfano kisukari, kiharusi na kadhalika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria ya ardhi Tandahimba tatizo

KUANZIA katikati ya miaka ya 1980 na kuendelea, nchi mbalimbali duniani zimeshuhudia mabadiliko makubwa katika mifumo yake ya umilikaji wa ardhi. Tanzania ni nchi mojawapo ambayo imepitia katika mabadiliko hayo,...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri: Ukeketaji bado ni tatizo kubwa

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaWAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema ukatili wa kijinsia bado ni changamoto kubwa nchini ambapo suala la ukeketaji bado linatisha huku utafiti ukionesha kwamba kati ya wasichana watano, wawili wanaolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo ni kubwa ndani ya Jeshi la Polisi

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wiki iliyopita  limewafukuza kazi askari wake wanne kwa makosa ya utovu wa nidhamu, ikiwemo kujihusisha na vitendo vya ujambazi. Kwa mujibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo letu ni kubwa zaidi ya CCM

MTU aliye makini ataweza kutambua haraka kwamba tatizo letu ni kubwa zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nami pia ninashawishika kufikiri kwamba tatizo si CCM, bali ni la Watanzania wote....

 

10 years ago

Dewji Blog

Ulemavu wa kuzaliwa tatizo kubwa duniani

Apollo-children-Swahili

Watoto huchukuliwa kama taifa la kesho duniani kote  hivyo  basi kuwapatia huduma ya afya sahihi lazima ipewe kipaumbele . Mahitaji ya afya ya watoto ni ya kipekee sana, na ya tofauti sana ukilinganisha na watu wazima kwahiyo yanahitaji  bidii sana. Mara kwa mara kumekuwepo matukio kadhaa ya kuzaliwa kabla wa wakati, uzito mdogo wa kuzaliwa, mtoto kuzaliwa na kisukari, pumu, uzito na unene uliopitiliza, watoto walioungana  na kasoro nyingine nyingi. Kasoro hizi za kuzaliwa zinaripotiwa mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani