Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ruangwa waonya uchimbaji holela

Serikali imelaumiwa kwa kutochukua hatua madhubuti kudhibiti uchimbaji holela wa madini, licha ya rasilimali hiyo kuchangia pato la Taifa kupitia kodi na fursa nyingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pemba waonya chokochoko Muungano

MTANDAO wa Watanzania wenye asili ya Pemba waishio Bara (NEPPELTA), umehadharisha juu ya chokochoko na chuki zinazolenga kuvunja muungano na kusema ukivunjika, hautawaacha salama.

 

9 years ago

Habarileo

Wazee waonya wapigadebe wa urais

WAZEE wa vyama mbalimbali vya siasa mkoani hapa, wamecharuka na kutoa onyo kwa wapiga debe wa wagombea mbalimbali katika kampeni za uchaguzi, kama urais na ubunge, wanaotoa lugha chafu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makada CCM waonya kubebana

BAADHI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema watamkataa mgombea yeyote wa urais atakayebebwa au kupata upendeleo wa baadhi ya vigogo au kundi lolote kwa maslahi binafsi. Wakizungumza na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabalozi waonya maafisa wafisadi Kenya

Mabalozi wa mataifa ya kigeni wameonya kuwa huenda mataifa yao yakawapiga marufuku maafisa wa serikali wanaojihusisha na ufisadi kuzuru nchi hizo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa waonya njaa Somalia

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba huenda nchi ya Somalia ikatumbukia tena katika janga la njaa kama lililotokea mwaka wa 2011

 

9 years ago

GPL

P-SQUARE WAONYA: SISI WABURUDISHAJI SI WANENGUAJI

Mapacha wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye.
MAPACHA wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square, wamesema hawataki kuitwa wanenguaji, bali waitwe waburudishaji. Wasanii hao ambao hivi sasa wanachukuliwa kuwa waimbaji bora zaidi barani Afrika, wamesema wanajisikia vibaya kuitwa wanenguaji, kwani kuna mambo mengi wanayoyafanya katika tasnia ya muziki.“Nimezoea kuwasikia...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea ADC waonya wauza unga

Wanachama watatu wa Alliance for Democratic Change (ADC) wamechukua fomu za kuwania urais kupitia chama hicho, huku wakiahidi kukomesha mauaji ya albino na biashara ya dawa za kulevya.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba hatarini kuvunjwa, wanasheria waonya

Wakati Bunge Maalumu la Katiba linakusudia kufanyia marekebisho kanuni zake ili kuwabana wajumbe wa Bunge hilo ambao wamesusia kushiriki mchakato wa Katiba, wanasheria, wasomi na wanaharakati wamepinga dhamira hiyo wakisema itasababisha kuvunjwa kwa Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Salim, Warioba waonya kuhusu amani

>Mawaziri wakuu wa zamani, Dk Salim Ahmed Salim na Jaji Joseph Warioba wameonya kuwa hali ya mgawanyiko, ubaguzi wa kidini, ukabila na ujimbo miongoni mwa wananchi inatishia umoja na utulivu wa nchi iwapo hatua hazitachukuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani