Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


P-SQUARE WAONYA: SISI WABURUDISHAJI SI WANENGUAJI

Mapacha wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye.
MAPACHA wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square, wamesema hawataki kuitwa wanenguaji, bali waitwe waburudishaji. Wasanii hao ambao hivi sasa wanachukuliwa kuwa waimbaji bora zaidi barani Afrika, wamesema wanajisikia vibaya kuitwa wanenguaji, kwani kuna mambo mengi wanayoyafanya katika tasnia ya muziki.“Nimezoea kuwasikia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kama unashindana na sisi, unapoteza tu muda — P-Square

P-Square wamewaonya wasanii wa Nigeria na Afrika kwa ujumla wanaotaka kushindana nao kuwa wanapoteza tu muda. Kauli hiyo wameitoa wakati ambapo Peter Okoye aliyeanzisha kipindi cha mashindano ya kucheza, Dance With Peter alipomwalika pacha wake Paul kama jaji mwalikwa. Walipata fursa ya kuulizwa maswali kadhaa ikiwemo mafanikio yao. “Hatuna ushindani wowote; tunashindana sisi wenyewe. Kama […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri

Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.

 

11 years ago

Habarileo

Pemba waonya chokochoko Muungano

MTANDAO wa Watanzania wenye asili ya Pemba waishio Bara (NEPPELTA), umehadharisha juu ya chokochoko na chuki zinazolenga kuvunja muungano na kusema ukivunjika, hautawaacha salama.

 

9 years ago

Habarileo

Wazee waonya wapigadebe wa urais

WAZEE wa vyama mbalimbali vya siasa mkoani hapa, wamecharuka na kutoa onyo kwa wapiga debe wa wagombea mbalimbali katika kampeni za uchaguzi, kama urais na ubunge, wanaotoa lugha chafu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ruangwa waonya uchimbaji holela

Serikali imelaumiwa kwa kutochukua hatua madhubuti kudhibiti uchimbaji holela wa madini, licha ya rasilimali hiyo kuchangia pato la Taifa kupitia kodi na fursa nyingine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makada CCM waonya kubebana

BAADHI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema watamkataa mgombea yeyote wa urais atakayebebwa au kupata upendeleo wa baadhi ya vigogo au kundi lolote kwa maslahi binafsi. Wakizungumza na...

 

10 years ago

GPL

TWAWEZA WAONYA VURUGU UCHAGUZI MKUU!

Meneja wa Sauti za Wananchi wa Twaweza, Elvis Mushi (kulia) akitoa ufafanuzi katika mkutano huo. Kushoto ni Afisa Masoko wa Twaweza, Costantine Magavilla. Viongozi mbalimbali wa taasisi na wanahabari wakifuatilia semina hiyo. Viongozi wengine…

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa waonya hatari ya Ebola

Umoja wa Mataifa umesema ugonjwa wa Ebola bado unaweza kuendelea kusambaa duniani kote iwapo hautadhibitiwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabalozi waonya maafisa wafisadi Kenya

Mabalozi wa mataifa ya kigeni wameonya kuwa huenda mataifa yao yakawapiga marufuku maafisa wa serikali wanaojihusisha na ufisadi kuzuru nchi hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani