Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri

Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati wa demokrasi wafungwa Misri

Wanaharakati kadha wapewa kifungo cha miaka mitatu MIsri kwa kufanya maandamano

 

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak na wanawe wafungwa miaka 3 Misri

Mahakama ya uhalifu ya Misri imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitatu, kwa rais wa zamani, Hosni Mubarak, na watoto wake wawili

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela wandishi 3 wa shirika la habari la Al Jazeera .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela

Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafungwa 250 watoroka jela DRC

Wafungwa wasiopungua 250 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walitoroka gerezanimajira ya alfajiri

 

10 years ago

Vijimambo

Polisi 'feki' wawili wafungwa miaka mitano

Mahakama ya Wilaya ya Chato, mkoani Geita, imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja, Joseph Christopher (25) mkazi wa kijiji cha Nkome na Bahati Juma (28) mkazi wa Katoro wilayani Chato, baada ya kuwatia hatiani katika shitaka la kujifanya maofisa wa polisi kwa lengo la kufanya utapeli.

Katika kesi hiyo, washitakiwa hao walidaiwa kufanya utapeli katika kijiji cha Buseresere, Septemba 4, mwaka jana na kujipatia simu mbili za mkononi pamoja na Sh. 11,000 taslimu kinyume cha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini

Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafungwa miaka 56 jela kwa kuharibu mali

Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Rukwa, imewahukumu watu wanane wa Kijiji cha Sikaungu wilayani Sumbawanga, kutumikia kifungo cha miaka 56 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuteketeza mali za mwekezaji zenye thamani ya zaidi ya Sh 227 milioni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa,na walinzi wauawa katika jela Iraq

Askari polisi kadhaa wa Iraq pamoja na wafungwa karibia 30, wameuawa, wakati wafungwa zaidi ya 50 walipotoroka jela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani