Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaharakati wa demokrasi wafungwa Misri

Wanaharakati kadha wapewa kifungo cha miaka mitatu MIsri kwa kufanya maandamano

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak na wanawe wafungwa miaka 3 Misri

Mahakama ya uhalifu ya Misri imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitatu, kwa rais wa zamani, Hosni Mubarak, na watoto wake wawili

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri

Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuakhirisha uchaguzi kwapunja demokrasi

Chama kikuu cha upinzani Nigeria chasema kuakhirisha uchaguzi kulikotangazwa ni kupunguza demokrasi ya wananchi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati walaani wanawake kuuawa

MTANDAO wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (Mkuki), umelaani matukio ya wanawake kuuawa kikatili na watu wasiojulikana ambao wakati mwingine huwakata na kuchukua viungo kwenye miili yao, ili kuvitumia kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee wa Upako awakemea wanaharakati

WANAHARAKATI wanawake nchini wametakiwa kuwaheshimu waume zao na kuelewa kuwa mwanamume ni kichwa cha familia. Akizungumza katika kipindi chake cha Tutashinda kinachorushwa hewani na kituo cha runinga cha Channel Ten...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati waelezea kukerwa Ethiopia

Tume ya kuwalinda waandishi wa habari CPJ, imekosoa Ethiopia kwa kutumia sheria ya ugaidi, kuzima harakati zozote za upinzani nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi, wanaharakati wamshukia Gwajima

Baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuibua mambo mazito ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa juzi, wanaharakati na wasomi wametoa maoni yao na kueleza kusikitishwa na hatua za kiongozi huyo wa dini kutoa siri za waumini wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya

Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati waingia Korea Kaskazini

Kundi la wanaharaklati wanawake wamevuka mpaka kati ya Korea Kaskazini na Korea Kusini katika jitihada za keleta mapatano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani