Wasomi, wanaharakati wamshukia Gwajima
Baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuibua mambo mazito ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa juzi, wanaharakati na wasomi wametoa maoni yao na kueleza kusikitishwa na hatua za kiongozi huyo wa dini kutoa siri za waumini wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Wanaharakati, wasomi wamshukia Magufuli kuhusu mabadiliko
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wasomi, wananchi wamshukia Kinana
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Wasomi wamshukia Mkapa kwa kauli za kuudhi
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Wasomi, wanaharakati waeleza dosari zilivyoathiri uchaguzi
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
10 years ago
Vijimambo10 Mar
Chadema wamshukia Nape.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-10March2015.jpg)
Akizungumza na vijana wa chama hicho mjini Tabora juzi, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, alisema mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa chama hicho ni ya kuwajengea ukakamavu na ujasiri ili wawe...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Wabunge wamshukia Prof Maghembe
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Wabunge CUF wamshukia Ndugai
*Wadai amevunja kanuni Dk. Shein, polisi kuingia ukumbini
*Kubenea naye atangaza kumburuza mahakamani
Fredy Azzah, Dar na Ramadhan Hassan, Dodoma
WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemtuhumu Spika wa Bunge, Job Ndugai kumruhusu Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuingia bungeni.
Kwa mujibu wa wabunge hao, Spika alifanya bhivyo licha ya wao kupinga hatua hiyo.
Vilevile, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ametangaza kumfikisha mahakamani Spika Ndugai akidai kwamba alikiuka...