Wabunge wamshukia Prof Maghembe
Dodoma. Wabunge wamembana Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe wakimtuhumu kuandaa taarifa za uongo, ufisadi na ubabaishaji kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji kwa mwaka 2014/15, kuziwasilisha bungeni wakati hali halisi ikionyesha kuwa maeneo mengi nchini wananchi hawapati maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Wabunge CUF wamshukia Ndugai
*Wadai amevunja kanuni Dk. Shein, polisi kuingia ukumbini
*Kubenea naye atangaza kumburuza mahakamani
Fredy Azzah, Dar na Ramadhan Hassan, Dodoma
WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemtuhumu Spika wa Bunge, Job Ndugai kumruhusu Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuingia bungeni.
Kwa mujibu wa wabunge hao, Spika alifanya bhivyo licha ya wao kupinga hatua hiyo.
Vilevile, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ametangaza kumfikisha mahakamani Spika Ndugai akidai kwamba alikiuka...
10 years ago
Mwananchi29 May
BAJETI: Wabunge wamshukia Nyalandu
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wananchi wamshukia Makinda, wabunge CCM
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Prof. Maghembe jiuzulu — Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtumia ujumbe Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, akimshauri ajiuzulu kutokana na usugu wa tatizo la maji jijini Dar es Salaam. Mnyika pia aliwataka...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Prof. Maghembe: Wazazi shirikianeni na walimu
WAZAZI katika Kijiji cha Kriya, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu, ili watoto waliopo katika Shule ya Sekondari Kriya waweze kuwa na ufaulu mzuri kuliko ilivyo sasa. Akizungumza...
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Prof Maghembe appoints new Muwsa Director
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Prof. Maghembe asisitiza umoja, amani Mwanga
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo. Wito huo ulitolewa na Mbunge wa jimbo...
11 years ago
MichuziPROF. MAGHEMBE AKUTANA NA UJUMBE WA SERIKALI YA SINGAPORE
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo