Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Maghembe jiuzulu — Mnyika

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtumia ujumbe Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, akimshauri ajiuzulu kutokana na usugu wa tatizo la maji jijini Dar es Salaam. Mnyika pia aliwataka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika kumburuza Maghembe kortini

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, anakusudia kumshitaki Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, kwa madai ya kumnyima nyaraka zinazohusiana na miradi ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaam. Mnyika...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wamshukia Prof Maghembe

Dodoma. Wabunge wamembana Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe wakimtuhumu kuandaa taarifa za uongo, ufisadi na ubabaishaji kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji kwa mwaka 2014/15, kuziwasilisha bungeni wakati hali halisi ikionyesha kuwa maeneo mengi nchini wananchi hawapati maji.

 

9 years ago

TheCitizen

Prof Maghembe appoints new Muwsa Director

Ms Joyce Msiru, who was Finance and Administration Manager for the Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority (Muwsa) has been promoted public utility’s Managing Director.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maghembe: Wazazi shirikianeni na walimu

WAZAZI katika Kijiji cha Kriya, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu, ili watoto waliopo katika Shule ya Sekondari Kriya waweze kuwa na ufaulu mzuri kuliko ilivyo sasa. Akizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

PROF. MAGHEMBE AKUTANA NA UJUMBE WA SERIKALI YA SINGAPORE

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe leo mchana amekutana na Waziri Mwandamizi anayeshughulikia Mambo ya Nje na Ndani wa Singapore, Masagos Zulkifli kuzungumzia Maendeleo ya Sekta ya Maji nchini ofisini kwake Ubungo Maji Dar es Salaam.
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema candidate to challenge Prof Maghembe’s victory

Chadema candidate for Mwanga parliamentary seat Mr Henry Kileo, who was defeated by minister for water Professor Jumanne Maghembe, will contest defeat in court.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maghembe asisitiza umoja, amani Mwanga

WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo. Wito huo ulitolewa na Mbunge wa jimbo...

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo

Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameshangazwa na utitiri wa watu wanaotaka kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, akisema nafasi hiyo ya juu nchini haifanani na mashindano ya urembo ambayo mtu yeyote anaweza kujaribu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani