PROF. MAGHEMBE AKUTANA NA UJUMBE WA SERIKALI YA SINGAPORE
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe leo mchana amekutana na Waziri Mwandamizi anayeshughulikia Mambo ya Nje na Ndani wa Singapore, Masagos Zulkifli kuzungumzia Maendeleo ya Sekta ya Maji nchini ofisini kwake Ubungo Maji Dar es Salaam.
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Prof. Jumanne Maghembe: Serikali imevalia njuga tatizo la ukosefu wa maji nchini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Prof. Jumanne Maghembe mara baada ya kuwasili katika kata ya Kileo jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro wakati alipoanza ziara ya kikazi ya jimboni humo akikagua na kuhimiza ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa CCM.
Akizungumzia tatizo la maji nchini kwa ujumla Prof....
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Wabunge wamshukia Prof Maghembe
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Prof. Maghembe jiuzulu — Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtumia ujumbe Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, akimshauri ajiuzulu kutokana na usugu wa tatizo la maji jijini Dar es Salaam. Mnyika pia aliwataka...
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Prof Maghembe appoints new Muwsa Director
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Prof. Maghembe: Wazazi shirikianeni na walimu
WAZAZI katika Kijiji cha Kriya, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu, ili watoto waliopo katika Shule ya Sekondari Kriya waweze kuwa na ufaulu mzuri kuliko ilivyo sasa. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AsFcQ-URt0M/VBgfkOlhfrI/AAAAAAAGj7U/ngnKZfXdZGo/s72-c/IMG_20140916_135211.jpg)
Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore
![](http://2.bp.blogspot.com/-AsFcQ-URt0M/VBgfkOlhfrI/AAAAAAAGj7U/ngnKZfXdZGo/s1600/IMG_20140916_135211.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2TcsuNYIxJs/VBgfkM5gqyI/AAAAAAAGj7Y/QGwaV8gYH3k/s1600/IMG_20140916_135405.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PORsXy-7oGA/VBgfkkwzwgI/AAAAAAAGj7c/AzOqrKihB0I/s1600/IMG_20140916_142352.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Prof. Maghembe asisitiza umoja, amani Mwanga
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo. Wito huo ulitolewa na Mbunge wa jimbo...
9 years ago
TheCitizen29 Oct
Chadema candidate to challenge Prof Maghembe’s victory