Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROF. MAGHEMBE AKUTANA NA UJUMBE WA SERIKALI YA SINGAPORE

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe leo mchana amekutana na Waziri Mwandamizi anayeshughulikia Mambo ya Nje na Ndani wa Singapore, Masagos Zulkifli kuzungumzia Maendeleo ya Sekta ya Maji nchini ofisini kwake Ubungo Maji Dar es Salaam.
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Prof. Jumanne Maghembe: Serikali imevalia njuga tatizo la ukosefu wa maji nchini

1

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Prof. Jumanne Maghembe mara baada ya kuwasili katika kata ya Kileo jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro wakati alipoanza ziara ya kikazi ya jimboni humo akikagua na kuhimiza ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa CCM.

Akizungumzia tatizo la maji nchini kwa ujumla Prof....

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wamshukia Prof Maghembe

Dodoma. Wabunge wamembana Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe wakimtuhumu kuandaa taarifa za uongo, ufisadi na ubabaishaji kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji kwa mwaka 2014/15, kuziwasilisha bungeni wakati hali halisi ikionyesha kuwa maeneo mengi nchini wananchi hawapati maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maghembe jiuzulu — Mnyika

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtumia ujumbe Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, akimshauri ajiuzulu kutokana na usugu wa tatizo la maji jijini Dar es Salaam. Mnyika pia aliwataka...

 

9 years ago

TheCitizen

Prof Maghembe appoints new Muwsa Director

Ms Joyce Msiru, who was Finance and Administration Manager for the Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority (Muwsa) has been promoted public utility’s Managing Director.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maghembe: Wazazi shirikianeni na walimu

WAZAZI katika Kijiji cha Kriya, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu, ili watoto waliopo katika Shule ya Sekondari Kriya waweze kuwa na ufaulu mzuri kuliko ilivyo sasa. Akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore

Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa CPA Kanda ya Afrika Mhe Zitto Kabwe akiwasilisha ujumbe maalum wa CPA kwa Bunge la Singapore ambayo ilipokelewa na Dr Lam Pin Min ambae pia ni Naibu Waziri wa Afya wa Singapore na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Asia Kusini(kulia).Ujumbe wa CPA katika mazungumzo na Uongozi wa CPA Bunge la Singapore. Picha ya pamoja. Picha kwa hisani ya Ofisi ya Bunge.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maghembe asisitiza umoja, amani Mwanga

WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo. Wito huo ulitolewa na Mbunge wa jimbo...

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema candidate to challenge Prof Maghembe’s victory

Chadema candidate for Mwanga parliamentary seat Mr Henry Kileo, who was defeated by minister for water Professor Jumanne Maghembe, will contest defeat in court.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani