Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore
![](http://2.bp.blogspot.com/-AsFcQ-URt0M/VBgfkOlhfrI/AAAAAAAGj7U/ngnKZfXdZGo/s72-c/IMG_20140916_135211.jpg)
Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa CPA Kanda ya Afrika Mhe Zitto Kabwe akiwasilisha ujumbe maalum wa CPA kwa Bunge la Singapore ambayo ilipokelewa na Dr Lam Pin Min ambae pia ni Naibu Waziri wa Afya wa Singapore na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Asia Kusini(kulia).
Ujumbe wa CPA katika mazungumzo na Uongozi wa CPA Bunge la Singapore.
Picha ya pamoja. Picha kwa hisani ya Ofisi ya Bunge.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUjumbe TPA watembelea Mamlaka ya Bandari ya Singapore (PSA)
Ujumbe wa wataalamu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania ( TPA) unatembelea Bandari ya Singapore (PSA) ili kubadilishana utaalamu wa namna ha kuongeza ufanisi na kuimarisha Ulinzi na usalama wa Bandari kwa kutumia Mitambo ya kisasa na Teknolojia ya Habari na mawasiliano (ICT) , Ujumbe wa TPA unaongozwa na Ndg. Phares Magesa , Mkurugenzi wa ICT wa TPA, pia wamo wahandisi wa majengo, wataalamu wa Ulinzi na wataalamu wa TEHAMA. Ziara hii ni muendelezo wa ushirikiano wa PSA na TPA ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FQvIpP-W0eI/U94NXmJo7fI/AAAAAAAF8l8/ldip2YbZDHc/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Naibu Spika wa Bunge na Ujumbe wake watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQvIpP-W0eI/U94NXmJo7fI/AAAAAAAF8l8/ldip2YbZDHc/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mMm1LB7RK08/U7Ji3J7CjmI/AAAAAAAFt38/JV0wpYdm4l4/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Wabunge wa CPA Tanzania watembelea Hifadhi za Taifa
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMm1LB7RK08/U7Ji3J7CjmI/AAAAAAAFt38/JV0wpYdm4l4/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UmVIfR3I14M/U7Ji3Cdpi2I/AAAAAAAFt3g/usxtShM838U/s1600/unnamed+(17).jpg)
11 years ago
MichuziWAJUMBE WA SEMINA YA 25 YA CPA WATEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII MJINI BAGAMOYO
11 years ago
MichuziPROF. MAGHEMBE AKUTANA NA UJUMBE WA SERIKALI YA SINGAPORE
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe leo mchana amekutana na Waziri Mwandamizi anayeshughulikia Mambo ya Nje na Ndani wa Singapore, Masagos Zulkifli kuzungumzia Maendeleo ya Sekta ya Maji nchini ofisini kwake Ubungo Maji Dar es Salaam.
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...
10 years ago
Michuzi17 Feb
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NA UJUMBE WAKE ZIARANI NCHINI SINGAPORE
![luk1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/luk1.png)
5 years ago
MichuziMAAFISA WA BUNGE WATOA ELIMU KUHUSU JUMUIYA YA MADOLA (CPA)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bn3WImY0mkw/VQb_acckbGI/AAAAAAAHKzc/pnY6gvVxpOo/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
UJUMBE KUTOKA KAMPUNI YA SURBANA — SINGAPORE WAMTEMBELEA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI OFISINI KWAKE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-bn3WImY0mkw/VQb_acckbGI/AAAAAAAHKzc/pnY6gvVxpOo/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbKEUb69_fc/VQb_aLVXaxI/AAAAAAAHKzY/fhYDpeHbOUM/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania