Wabunge wa CPA Tanzania watembelea Hifadhi za Taifa
Afisa Utalii wa Hifadhi ya Ziwa Manyara,Jully Lyimo(wa pili kushoto)akiwaongoza Wabunge wa Chama cha Wabunge la Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania na Maafisa wa Bunge waliotembelea Hifadhi hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge la Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania,Mheshimiwa Mussa Zungu akiwa na Wajumbe wa Bunge hilo na Maafisa wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara, wakiwa kwenye ziara ya tathmini ya Maandalizi ya Mkutano wa 45 wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAREMBO MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI
10 years ago
MichuziMISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMAJARO (KINAPA)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPLWASHIRIKI MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Washiriki wa Miss Tanzania 2014 watembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimajaro — KINAPA
Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 wametembelea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni warembo hao wakipiga picha na mdau mkubwa wa masuala ya urembo mkoani Kilimajaro, Athena Mawalla wa mgahawa wa Meku’s Bistro wakati warembo hao walipomtembelea wakiwa njiani kwenda KINAPA.
Warembo wakiwa katika gari njiani kuelekea KINAPA.
Afisa Habari wa Kamati ya Miss Tanzania, Hidan...
10 years ago
VijimamboMABALOZI WA HIFADHI ZA TAIFA WA TANAPA WATEMBELEA BUNGENI DODOMA
10 years ago
Michuzimabalozi wa Hifadhi za Taifa wa TANAPA watembelea Bungeni Dodoma leo
11 years ago
MichuziKamati ya Ardhi,Maliasili na Mazingira watembelea hifadhi ya taifa ya Mkomazi.
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi, maliasili na mazingira wakitembelea eneo la mradi wa kufuga faru pamoja na Mbwa Mwitu. Naibu waziri wa maliasili na mazingira ,Mahamud Mgimwa akiwa amemshika mtoto wa Tembo katika hifadhi ya taifa ya Mkomazi,wengine ni mwenyekiti wa...
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WA WARSHA YA MASHIRIKIANO BAINA YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI
Bwawa la Viboko katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi.Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Kilimanjaro Ramadhan Ng'anzi akichukua Taswira katika bwawa la Viboko.Baadhi ya Washiriki wa Warsha wakifurahia Mandhari tofauti katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziUjumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore