Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAFISA WA BUNGE WATOA ELIMU KUHUSU JUMUIYA YA MADOLA (CPA)


 Afisa wa Bunge Ndg. Dastan Mpelumbe akifafanua jambo walipokuwa wakitoa Elimu kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dodoma kuhusu Shughuli zinazofanya na Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) kama sehemu ya kusherehekea siku ya Kimataifa ya Jumuiya ya Madola Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge) Mwakilishi wa Bunge la Vijana la CPA anayeiwakilisha Tanzania Ndg. Hamisi Hincha akifafanua jambo walipokuwa wakitoa Elimu kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dodoma kuhusu Shughuli...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KUFUNGUA SEMINA YA 24 YA CHAMA CHA MABUNGE WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) KESHO, DAR ES SALAAM,

Spika wa Bunge kesho tarehe 26 Mei 2014 atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Semina ya 25 ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola ambayo itafanyika hapa nchini kuanzia tarehe 25/05/2014 mpaka 31/05/2014.   emina hiyo ambayo ni mfululizo wa hatua za mafunzo na kubadilishana uzoefu kwa Wabunge wa nchi wanachama wa CPA itahudhuriwa na Wabunge zaidi ya 60 toka nchi 18 ambazo ni Australia, Ghana, Seychelles, Kenya Uganda na Nigeria.  Nchi nyingine ni pamoja na Sri Lanka, Bangladesh,...

 

11 years ago

Michuzi

Wabunge kutoka Nchi Wanacham wa Jumuiya ya Madola (CPA) walalamika kufanywa “ATM” na wananchi

   Mjumbe kutoka Tanzania Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na wabunge wengine kutoka nchi washiriki wakifuatilia mada kwa makini    Katibu Mkuu wa CPA Dkt. William shijja akifafanua jambo wakati Mnadhimu Mkuu wa Serikali katika Bunge la Ghana ambaye pia ni Waziri anayeshughulikiwa maswala ya Bunge Dkt. Benjamini Bewa- Nyang Kunbour akiwasilisha mada yake kuhusu Mahusiano  ya Mbunge na chama chake wakati wa siku ya pili ya semina ya 25 ya Chama cha Mabunge wanachama wa jumuiya ya Madola CPA

 

11 years ago

Michuzi

DKT BILALI AFUNGUA Mkutano wa 45 wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA Africa Region)

 Wajumbe wa Mkutano wa 45 wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA Africa Region) wakiimba wimbo wa Taifa wa Tanzania kabla ya Ufunguzi wa Mkutano huo jana. Mkutano huo ulifunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhruri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mohammed Ghalib Bilal.  Makamu wa Rais wa Jamhruri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mohammed Ghalib Bilal akifungua Mkutano wa 45 wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA...

 

10 years ago

Michuzi

MAAFISA ELIMU WILAYA WAFUNDWA KUHUSU BRN

Mkuu wa Kitengo cha Utekelezaji cha MIradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Grace Hoka akitoa maelezo kuhusu miradi ya elimu kwa Maafisa Elimu Wilaya (hawapo Chuo cha Adem mjini Bagamoyo leo.Meneja wa Sekta ya Elimu katika Kitengo cha Rais cha Usimamizi wa Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Jenifa Mhando akitoa maelezo kuhusu BRN na miradi ya elimu kwa Maafisa Elimu Wilaya (hawapo pichani) katika kikao chao kilichomalizika kwenye Chuo...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BUNGE KUPATA ELIMU KUHUSU KAZI ZA BUNGE KATIKA VIWANJA VYA SABASABA

Banda la Bunge katika Viwanja vya Sabasaba Wananchi wakiangalia picha za Maspika ambao walishawahi kuongoza Bunge tangu enzi za ukoloni hadi sasa. Majengo ambayo wamewahi kutumiwa na Bunge nayo yawa kivutio. Hapa Wananchi wakiangalia picha hizo katika Banda la Bunge. Afisa wa Bunge Ndg. Dickson Bisile akigawa vipeperushi vya Historia ya Bunge kwa wananchi wanaoingia katika Banda la Bunge kupata Elimu kuhusu Bunge. Afisa wa Bunge Bi. Asia Minja akitoa maelezo kuhusu hatua mahususi ambazo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK

Mji wa Durban nchini Afrika Kusini utakuwa mji wa kwanza barani Afrika kuandaa mashindano ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2022

 

11 years ago

Mwananchi

Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika

Mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika yanakutana Arusha kuanzia leo kujadili utekelezaji wa misingi mikuu ya Jumuiya hiyo ambayo ni utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.

 

11 years ago

GPL

MO FARAH AJITOA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA

Mo Farah amejiondoa katika michuano hiyo kwa kutokuwa fiti. MWANARIADHA wa Uingereza, Mo Farah, amejitoa katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola yaliyoanza jana mjini Glasgow, Scotland kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Mjamaica Usain Bolt yeye atashiriki michuano hiyo. Mo amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa wiki za karibuni ila ataendelea kujifua kwa ajili ya michuano mingine ijayo.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani