Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameshangazwa na utitiri wa watu wanaotaka kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, akisema nafasi hiyo ya juu nchini haifanani na mashindano ya urembo ambayo mtu yeyote anaweza kujaribu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Prof. Maghembe jiuzulu — Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtumia ujumbe Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, akimshauri ajiuzulu kutokana na usugu wa tatizo la maji jijini Dar es Salaam. Mnyika pia aliwataka...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Wabunge wamshukia Prof Maghembe
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Prof. Maghembe: Wazazi shirikianeni na walimu
WAZAZI katika Kijiji cha Kriya, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu, ili watoto waliopo katika Shule ya Sekondari Kriya waweze kuwa na ufaulu mzuri kuliko ilivyo sasa. Akizungumza...
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Prof Maghembe appoints new Muwsa Director
11 years ago
MichuziPROF. MAGHEMBE AKUTANA NA UJUMBE WA SERIKALI YA SINGAPORE
“Tunatekeleza miradi mikubwa mitatu Nchini, mmojawapo ni ujenzi wa Bwawa kubwa la Kidunda, mkoani Morogoro ambalo litasaidia kuongeza upatikanaji wa maji jijini Dar es Salaam kwa miaka 20 ijayo,” alisema Waziri Maghembe.
“Hivyo, tunahitaji Ushirikiano wa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Prof. Maghembe asisitiza umoja, amani Mwanga
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo. Wito huo ulitolewa na Mbunge wa jimbo...
9 years ago
TheCitizen29 Oct
Chadema candidate to challenge Prof Maghembe’s victory
9 years ago
Bongo528 Sep
Tanzanite wa H.Baba aingia kwenye mashindano ya urembo Rwanda