Tanzanite wa H.Baba aingia kwenye mashindano ya urembo Rwanda
Mtoto wa kike wa H.Baba, Tanzanite, amedaiwa kutajwa kushiriki katika mashindano ya urembo ya watoto wa mastaa nchini Rwanda. H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa hivi karibuni Tanzanite atasafiri kuelekea nchini Rwanda kwaajili ya mashindano hayo. “Kenya tayari wameshamuona, mwezi wa 12 anaenda Rwanda kwenye mashindano ya urembo ya watoto wa mastaa ambayo yanafanyika nchini Rwanda,” amesema […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo
10 years ago
Vijimambo14 Nov
MISS TANZANIA 2013 AAHIDI MAKUBWA MASHINDANO YA UREMBO YA DUNIA
11 years ago
Tanzania Daima06 Sep
H-baba afafanua siri ya Tanzanite
MSANII wa Bongo Fleva H-Baba, amesema anafarijika kumuita mwanae jina la Tanzanite, moja ya madini ya thamani yanayopatikana Tanzanzania pekee. Kwa mujibu wa H-Baba, mume wa muigizaji Frola Mvungi ambaye...
10 years ago
Bongo524 Sep
Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba
10 years ago
Bongo524 Jan
H.Baba: Mwanangu Tanzanite ana meneja wake na ‘soon’ ataanza kufanya matangazo
9 years ago
Bongo504 Jan
Madee aingia kwenye biashara ya magari ya kukodi

Madee amefungua mwaka kibiashara zaidi kwa kuja na kampuni ya kukodisha magari iitwayo Tip Top Connection Tour.
Madee amesema ameona ni bora afungue mwaka 2016 kibiashara zaidi.
“Nimefungua kampuni ya kukodisha magari ambayo inaitwa Tip Top Connection Tour,” alisema.
“Tutakuwa tunakodisha watu ambao watakuwa na safari zao ndani ya Dar es Salaam na nje wanione mimi.”
Kwahiyo mwaka 2016 ndio utakuwa hivyo thabiti kabisa kwa sababu tayari tulikuwa tunajaribu kuongeza gari na kufikia saba,...
11 years ago
BBCSwahili17 Aug
Rwanda yatupwa nje ya mashindano ya CAF
9 years ago
Bongo514 Dec
Olivier Giroud aingia kwenye vitabu vya rekodi za Arsenal

Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na timu ya tafifa ya Ufaransa Olivier Giroud baada ya kufunga wikiend hii amefikisha idadi ya magoli 50 katika ligi ya EPL goli hilo la mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya Alan Hutton kumvuta Theo Walcott kwenye eneo la box.
Giroud alifunga mkwaju huo wa penati na kufikisha magoli 14 msimu huu na kuwa mchezaji wa saba wa Arsenal kufunga magoli 50 kwenye ligi ya EPL wakati yeye ikimchukua michezo 113 kufikia rekodi hiyo.
Wachezaji...