Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


H.Baba: Mwanangu Tanzanite ana meneja wake na ‘soon’ ataanza kufanya matangazo

H.Baba hataki mchezo. Muimbaji huyo wa mtindo alioupa jina ‘Bongo Bolingo Flava’, amesema mwanae wa kike, Tanzanite ana meneja wake anayejitegemea. H.Baba na mwanae Tanzanite Akizungumza jana kwenye kipindi cha The Mboni Show cha TBC 1, H.Baba, alisema yeye na mke wake watakuwa hawahusiki kwenye biashara zitakazojitokeza kwa mtoto wao huyo. “Mke wangu ana meneja […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale

mondi bin awards

Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.

mondi bin awards

Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.

Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Meneja Tanzanite One atoroka nchini


Na Mwandishi Wetu, Arusha 
MENEJA Mauzo wa Kampuni ya Tanzanite One, Jacques Beytel (39) maarufu ‘Kibakuli’ raia wa Afrika Kusini aliyekamatwa wiki iliyopita kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kibali, ametoroka.
Habari za kuaminika zimesema kuwa Kibakuli alitoroka kwa kusaidiwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Wiki iliyopita gazeti hili liliripoti tukio la kukamatwa kwa Kibakuli na maofisa wa Idara ya Uhamiaji mkoani Arusha, kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kuwa na kibali.
Mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

MWANANGU ANA KICHWA KIKUBWA LAKINI SIMTUPI!

Stori: Haruni Sanchawa
“Mwanangu ana kichwa kikubwa lakini simtupi,” yalikuwa ni maneno ya kuhuzunisha ya mama wa mtoto Laurent Marykion ambaye amezaliwa miezi saba iliyopita katika mji mdogo wa  Mikumi mkoani Morogoro na   anateseka kutokana na tatizo la kuvimba kichwa. Mtoto Laurent Marykion akiwa amelala. “Baada ya kuzaliwa na kufikisha miezi mitatu, alipatwa  na tatizo hili la kuvimba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baba Kanumba: Mwanangu Angetumika na CHADEMA

Baba wa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Charles Kanumba, amesema kuwa anaamini kama mwanaye angekuwa hai hadi sasa basi angekuwa mwanasiasa maarufu nchini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Akizungumza  kwa njia ya simu akiwa kijijini kwao Shinyanga, Charles alisema, japo imepita miaka kadhaa tangu kutokea kwa kifo cha mwanaye huyo, bado anawaza ni namna gani angeweza kuleta maendeleo kwa Watanzania.

“Mwanangu alikuwa na ndoto kubwa ya kuwa...

 

10 years ago

GPL

BABA: UMEME UMEMBADILI SURA MWANANGU

Stori: Haruni Sanchawa
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Saadam Hussein (14), mkazi wa Chanika nje kidogo ya jiji la Dar es Slaam amelalamikia umeme kubadili sura yake baada ya kuungua vibaya na moto uliosabishwa na hitilafu ya nishati hiyo katika nyumba yao iliyotokea wiki mbili zilizopita. Kijana anayefahamika kwa jina la Saadam Hussein (14) aliyeungua vibaya kutokana na hitilafu ya umeme. Akizungumza na gazeti hili...

 

11 years ago

GPL

CHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU

Na Musa Mateja
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ amefunguka kuwa anatamani kuishi na mwanaye aliyezaa na mwigizaji Husna Idd ‘Sajent’ lakini mzazi mwenziye huyo amekuwa akimgomea. Prezidaa wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Akizungumza na paparazi wetu, Chaz Baba alisema kabla hajaoa alikuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ana nyimbo za albamu tatu ndani – Meneja

Ommy

Ommy Dimpoz ana nyimbo nyingi ndani zinazoweza kufikisha takriban albamu tatu.

Ommy

Akizungumza na Bongo5 Jumamosi iliyopita kwenye uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya, Achia Body, meneja wake, Mubenga, alisema mpaka sasa tayari wamesharekodi nyimbo nyingi ambazo zinasubiri muda wake tu.

“Sisi hatupaniki, tunaangalia target zetu kwenye muziki,” alisema. “Tunajiuliza sasa hivi inafaa kutoa ngoma? Kwa sababu ngoma tunazo, Ommy ana nyimbo kama albamu tatu, zingine hadi mimi nimeshazizoea naziona....

 

11 years ago

GPL

SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ kudai ana mpango wa kumchukua mwanaye ili akaishi naye, hatimaye mzazi mwenzake, Husna Idd ‘Sajenti’,  amesema hawezi kumtoa mwanaye. Mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Akistorisha na paparazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani