BABA: UMEME UMEMBADILI SURA MWANANGU
![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVL94lLykO5zlmkoUQyloCPY6rb80BJ0ueihyDVmE*bN7aM93DMS33RHAaae2IanuqzD53*3xwS-z7HIXW1PvGDN/umeme.jpg)
Stori: Haruni Sanchawa KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Saadam Hussein (14), mkazi wa Chanika nje kidogo ya jiji la Dar es Slaam amelalamikia umeme kubadili sura yake baada ya kuungua vibaya na moto uliosabishwa na hitilafu ya nishati hiyo katika nyumba yao iliyotokea wiki mbili zilizopita. Kijana anayefahamika kwa jina la Saadam Hussein (14) aliyeungua vibaya kutokana na hitilafu ya umeme. Akizungumza na gazeti hili...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Baba Kanumba: Mwanangu Angetumika na CHADEMA
Baba wa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Charles Kanumba, amesema kuwa anaamini kama mwanaye angekuwa hai hadi sasa basi angekuwa mwanasiasa maarufu nchini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Akizungumza kwa njia ya simu akiwa kijijini kwao Shinyanga, Charles alisema, japo imepita miaka kadhaa tangu kutokea kwa kifo cha mwanaye huyo, bado anawaza ni namna gani angeweza kuleta maendeleo kwa Watanzania.
“Mwanangu alikuwa na ndoto kubwa ya kuwa...
11 years ago
GPLCHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8QhgTtdtP-Kfh72FN-Y9-rdFjNIC1Kol1T4BrMhdllyVnwyHyNjNrx2g8PT2jjfQVq5G1D-Q8FtVsl-FgaOM4ob/CHAZ.gif?width=650)
SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O
10 years ago
Bongo524 Jan
H.Baba: Mwanangu Tanzanite ana meneja wake na ‘soon’ ataanza kufanya matangazo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9wyvnOMu2tPA4D4fnySVBbt6VtXWBbKoirOelf0060cB-wvLeLpUsD7XrDJUxnbAx7VZjw1yeYlBISKDFa0LZM/sajent.jpg)
SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU
9 years ago
Bongo528 Aug
Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-10
ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
“Eti anakuuliza wewe nani?” aliuliza yule abiria akiwa ameinama kidogo ili amuone vizuri yule abiria…
“Anasema anaitwa baba Pili,” yule abiria alimwambia mama Pilima.
Mama Pilima akatembea kwa kasi hadi mlangoni mwa gari…
“Mzima baba Pili?”
“Mzima, twende nikupe lifti.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…
Mama Pilima alijikuta akizama ndani ya gari hilo huku akisema…
“Kwani we unakwenda wapi?”
“Mbelembele kule…wewe unakwenda wapi?” alisema baba Pili…
“Nakwenda mahali mara...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-6
ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
“Yes! Hakuna mtu anayepita eneo hili muda huu,” alisema mama Pilima hali iliyomfanya baba Pili aamini kwamba huenda wanakwenda kutimiza ndoto yake…
“Egemea kiti,” alisema mama Pilima…
JIRUSHE MWENYEWE…
Baba Pili aliegemea kiti kwa haraka sana, akatumbua macho kusubiri hatua nyingine akiamini ataambiwa au ataelekezwa…
“Mmm! Baba Pili acha mi niende bwana. Muda umekwenda kwelikweli, si ajabu nyumbani wameanza kuingiwa na wasiwasi,” alisema mama Pilima akiwa tayari...