Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief
Q Chief amedai kuwa aliumia mno pale mtoto wake alipofukuzwa shule baada ya kupigana na mwanafunzi mwenzake aliyemtania kuwa baba yake ni teja! Q-Chief alikuwa akizungumza na BBC Swahili hivi karibuni. Mtoto wa Q Chief “Siku moja mwanangu alikuja analia sana, akaniambia baba mwanafunzi mmoja amesema baba yake si teja tu. Nikamwambia kwahiyo ukafanyaje akaniambia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Feb
MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE
Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8QhgTtdtP-Kfh72FN-Y9-rdFjNIC1Kol1T4BrMhdllyVnwyHyNjNrx2g8PT2jjfQVq5G1D-Q8FtVsl-FgaOM4ob/CHAZ.gif?width=650)
SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O
11 years ago
GPLCHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Baba Kanumba: Mwanangu Angetumika na CHADEMA
Baba wa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Charles Kanumba, amesema kuwa anaamini kama mwanaye angekuwa hai hadi sasa basi angekuwa mwanasiasa maarufu nchini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Akizungumza kwa njia ya simu akiwa kijijini kwao Shinyanga, Charles alisema, japo imepita miaka kadhaa tangu kutokea kwa kifo cha mwanaye huyo, bado anawaza ni namna gani angeweza kuleta maendeleo kwa Watanzania.
“Mwanangu alikuwa na ndoto kubwa ya kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVL94lLykO5zlmkoUQyloCPY6rb80BJ0ueihyDVmE*bN7aM93DMS33RHAaae2IanuqzD53*3xwS-z7HIXW1PvGDN/umeme.jpg)
BABA: UMEME UMEMBADILI SURA MWANANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9wyvnOMu2tPA4D4fnySVBbt6VtXWBbKoirOelf0060cB-wvLeLpUsD7XrDJUxnbAx7VZjw1yeYlBISKDFa0LZM/sajent.jpg)
SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU
10 years ago
Bongo524 Jan
H.Baba: Mwanangu Tanzanite ana meneja wake na ‘soon’ ataanza kufanya matangazo
10 years ago
VijimamboMPWA ATOA POLE KWA ELVIS KWA MSIBA WA BABA YAKE
Liganga akiwa na mama mwenye nyumba wake wakiwa nyumbani kwa Elvis Mnyamuru.
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
modewjiblog inatoa pole kwa Mh Dk. Hamisi Kigwangalla kwa kufiwa na baba yake
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 amefiwa na baba yake mzazi Mzee Kigwangalla aliyekuwa akipatiwa matibabu nchi India.
modewjiblog inatoa pole kwa familia nzima ya Dk. Hamis Kigwangalla katika kipindi hichi kigumu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu na faraja.
inna lillahi wa inallah-e-raji’oon.