Rwanda yatupwa nje ya mashindano ya CAF
CAF yaipiga marufuku Rwanda kwa kumchezesha Dady Birori mwenye vyeti viwiili vya uraiya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Jan
Manchester United yatupwa nje FA
Manchester United imeendelea kuboronga na sasa ikitupwa nje ya kombe la FA baada ya kucharazwa 2-1 na Swansea
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W0JtjbOpN0dNayei0S-0dHrN-dIkuc0YHvMOAauvCxJu8cKckaQWqNNIGgIT0sRkCmiLa9PEbi*lKeaXcS5UiDM/stars.jpg)
stars yatupwa nje Afcon 2015
Kikosi cha timu ya Taifa 'Taifa Stars' Na Mwandishi Wetu
NDIYO basi tena! Taifa Stars imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2015), baada ya kufungwa mabao 2-1 na Msumbiji jijini Maputo, jana Jumapili.Stars imeondolewa kwa jumla ya mabao 4-3, baada ya awali kulazimishwa sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Katika mechi hiyo ya jana, Msumbiji ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao la kwanza kupitia kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyQoqzCAclVXFKfNaBAMqhsRU67GbtN7iBh3ri0d89oXkQtbo32ZjaUs7sQ-pl42L7dVc5iMICUc9Vj*cWqI6T*/barca.jpg?width=650)
MAN CITY YATUPWA NJE UEFA
Barcelona wakishangilia bao lao lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31. Barcelona imefanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mabingwa Ulaya kwa kuifunga Manchester City bao 1-0 lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31 ya mchezo uliopigwa Nou Camp, Barcelona usiku huu na kuitupa nje City kwa jumla ya mabao 3-1. Manchester City vichwa chini baada ya kuondolewa kwenye michuano hiyo. Katika mechi ya kwanza iliyopigwa...
10 years ago
Habarileo10 Aug
Familia ya Kawawa 'yatupwa' nje CCM
SIKU chache baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Zainab Kawawa kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM katika Jimbo la Liwale mkoani Lindi, kaka yake, Vita Kawawa naye ameripotiwa kuanguka katika kura za maoni jimboni Namtumbo, Ruvuma.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s72-c/MMGL1223.jpg)
YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s640/MMGL1223.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ISa5jBn1JOQ/VbkBnHkZ5KI/AAAAAAAHsic/ak8Ug_IjKI8/s640/MMGL1244.jpg)
10 years ago
Michuzi31 Jul
BREAKING NEWSSSS !!!!!!! KESI YA IPTL DHIDI YA KAFULILA YATUPWA NJE.
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8Qj8U7hlSkoqv*9c3Kjmnnd8Xd3mtgMqD4dLXvH0wYUpZaUSlvwB4JAvu-kBlXYs50W6CWidT2sXz3KfDKM1PBK/article26674601F17D69300000578470_964x386.jpg?width=650)
SUAREZ AMNG’ATA MTU, ITALIA YATUPWA NJE
Sao Paulo, Brazil
TIMU ya taifa ya Uruguay imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia nchini Brazil, lakini kituko ni straika wa timu hiyo, Luis Suarez kumng’ata beki wa Italia kwenye Dimba la Das Dunas. Beki wa Italia, Giorgio Chiellini akionyesha sehemu aliong'atwa na Suarez. Uruguay imefuzu hatua hiyo baada ya kuifunga Italia bao 1-0 katika mechi ya mwisho ya Kundi D ikiungana na Costa Rica ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1ySam3guuI/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jfer_RFw5JM/XnC7NHY7dZI/AAAAAAALkF8/NYeLpw-kBOkiatkhKEmezdY_u1XFDG-ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/download-6.jpg)
CAF YASITISHA MASHINDANO YA CHAN KUHOFIA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jfer_RFw5JM/XnC7NHY7dZI/AAAAAAALkF8/NYeLpw-kBOkiatkhKEmezdY_u1XFDG-ZQCLcBGAsYHQ/s400/download-6.jpg)
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeahirisha Mashindao ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani (CHAN) kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya COVID19 (virusi vya corona)Mashindano hayo yalipaswa kuanza April 04 mpaka April 25 2020 huko Cameroon.
Tanzania ni miongoni mwa timu zilizokuwa zishiriki mashindano hayo ambapo kikosi cha Stars bado kiko kambiniBaada ya uamuzi huo ni wazi kambi itavunjwa na wachezaji kurejea kwenye timu zao kuendelea na ligi kuu (kama TFF...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania