Manchester United yatupwa nje FA
Manchester United imeendelea kuboronga na sasa ikitupwa nje ya kombe la FA baada ya kucharazwa 2-1 na Swansea
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-8HDUM2GN2d4/VDecbEf5MLI/AAAAAAAABNI/vbImEVFAwok/s72-c/4076.jpg)
BAADA YA KUTOA DRAW JANA, MANCHESTER UNITED YATUPWA NAFASI YA 6, TAZAMA HAPA MSIMAMO WA LIGI YA UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-8HDUM2GN2d4/VDecbEf5MLI/AAAAAAAABNI/vbImEVFAwok/s640/4076.jpg)
![whatsthescore.com](http://medias.whatsthescore.com/upload/logo-s.png)
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano
Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo hiyo jana..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk
Real Madrid 8 – 0 Malmo
GROUP B;
Wolfsburg 3 – 2 Manchester United
PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow
GROUP C;
Benfica 1 – 2 Atletico Madrid
9 years ago
Bongo529 Oct
Manchester United nje kombe la Capital One
9 years ago
Bongo509 Dec
Manchester United yatolewa nje UEFA
![Football Soccer - VfL Wolfsburg v Manchester United - UEFA Champions League Group Stage - Group B - Volkswagen-Arena, Wolfsburg, Germany - 8/12/15
Manchester United manager Louis van Gaal looks dejected
Action Images via Reuters / Carl Recine
Livepic
EDITORIAL USE ONLY.](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F2F7EFF00000578-0-image-a-20_1449612986562-300x194.jpg)
Manchester United jana Disemba 8 imeiaga rasmi michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kupata kipigo cha magoli 3-2 na Wolfsburg ya Ujerumani kwenye mchezo wa mwisho wa kundi B uliokuwa unaamua timu gani zitasonga mbele kwenye hatua ya mtoano kati ya timu tatu zilizokuwa na nafasi ya kusonga mbele kwenye hatua hiyo.
United, Wolfsburg na PSV zote zilikuwa na nafasi ya kufuzu kwenda kwenye hatua ya 16 bora lakini United imejikuta ikishindwa kusonga mbele.
Anthony Martial alianza kuifungia...
5 years ago
The Busby Babe09 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyQoqzCAclVXFKfNaBAMqhsRU67GbtN7iBh3ri0d89oXkQtbo32ZjaUs7sQ-pl42L7dVc5iMICUc9Vj*cWqI6T*/barca.jpg?width=650)
MAN CITY YATUPWA NJE UEFA
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Rwanda yatupwa nje ya mashindano ya CAF
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W0JtjbOpN0dNayei0S-0dHrN-dIkuc0YHvMOAauvCxJu8cKckaQWqNNIGgIT0sRkCmiLa9PEbi*lKeaXcS5UiDM/stars.jpg)
stars yatupwa nje Afcon 2015
10 years ago
Habarileo10 Aug
Familia ya Kawawa 'yatupwa' nje CCM
SIKU chache baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Zainab Kawawa kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM katika Jimbo la Liwale mkoani Lindi, kaka yake, Vita Kawawa naye ameripotiwa kuanguka katika kura za maoni jimboni Namtumbo, Ruvuma.