Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manchester United yatupwa nje FA

Manchester United imeendelea kuboronga na sasa ikitupwa nje ya kombe la FA baada ya kucharazwa 2-1 na Swansea

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano

jesse-lingard-memphis-depay-manchester-united-champions-league-wolfsburg-dejected_3386314

Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo  hiyo jana..

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk

Real Madrid 8 – 0 Malmo

GROUP B;

Wolfsburg 3 – 2 Manchester United

PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow

GROUP C;

Benfica 1 – 2 Atletico Madrid

 

9 years ago

Bongo5

Manchester United nje kombe la Capital One

Mechi za kombe la Capital One ziliendelea tena October 28 usiku. Miongoni mwa mechi zilizochezwa ni pamoja na Manchester City dhidi ya Crystal Palace. Mchezo huo ulichezwa katika dimba la Etihad. Man City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani wamefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa jumla ya magoli 5-1. Manchester United 0 – 0 Middlesbrough […]

 

9 years ago

Bongo5

Manchester United yatolewa nje UEFA

Football Soccer - VfL Wolfsburg v Manchester United - UEFA Champions League Group Stage - Group B - Volkswagen-Arena, Wolfsburg, Germany - 8/12/15
 Manchester United manager Louis van Gaal looks dejected
 Action Images via Reuters / Carl Recine
 Livepic
 EDITORIAL USE ONLY.

Manchester United jana Disemba 8 imeiaga rasmi michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kupata kipigo cha magoli 3-2 na Wolfsburg ya Ujerumani kwenye mchezo wa mwisho wa kundi B uliokuwa unaamua timu gani zitasonga mbele kwenye hatua ya mtoano kati ya timu tatu zilizokuwa na nafasi ya kusonga mbele kwenye hatua hiyo.

Football Soccer - VfL Wolfsburg v Manchester United - UEFA Champions League Group Stage - Group B - Volkswagen-Arena, Wolfsburg, Germany - 8/12/15 Manchester United manager Louis van Gaal looks dejected Action Images via Reuters / Carl Recine Livepic EDITORIAL USE ONLY.

United, Wolfsburg na PSV zote zilikuwa na nafasi ya kufuzu kwenda kwenye hatua ya 16 bora lakini United imejikuta ikishindwa kusonga mbele.

united-1

Anthony Martial alianza kuifungia...

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red  The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League  ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat  Goal.comView Full coverage on...

 

10 years ago

GPL

MAN CITY YATUPWA NJE UEFA

Barcelona wakishangilia bao lao lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31. Barcelona imefanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mabingwa Ulaya kwa kuifunga Manchester City bao 1-0 lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31 ya mchezo uliopigwa Nou Camp, Barcelona usiku huu na kuitupa nje City kwa jumla ya mabao 3-1. Manchester City vichwa chini baada ya kuondolewa kwenye michuano hiyo. Katika mechi ya kwanza iliyopigwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rwanda yatupwa nje ya mashindano ya CAF

CAF yaipiga marufuku Rwanda kwa kumchezesha Dady Birori mwenye vyeti viwiili vya uraiya

 

11 years ago

GPL

stars yatupwa nje Afcon 2015

Kikosi cha timu ya Taifa 'Taifa Stars' Na Mwandishi Wetu
NDIYO basi tena! Taifa Stars imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2015), baada ya kufungwa mabao 2-1 na Msumbiji jijini Maputo, jana Jumapili.Stars imeondolewa kwa jumla ya mabao 4-3, baada ya awali kulazimishwa sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Katika mechi hiyo ya jana, Msumbiji ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao la kwanza kupitia kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Familia ya Kawawa 'yatupwa' nje CCM

SIKU chache baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Zainab Kawawa kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM katika Jimbo la Liwale mkoani Lindi, kaka yake, Vita Kawawa naye ameripotiwa kuanguka katika kura za maoni jimboni Namtumbo, Ruvuma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani