Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAN CITY YATUPWA NJE UEFA

Barcelona wakishangilia bao lao lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31. Barcelona imefanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mabingwa Ulaya kwa kuifunga Manchester City bao 1-0 lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31 ya mchezo uliopigwa Nou Camp, Barcelona usiku huu na kuitupa nje City kwa jumla ya mabao 3-1. Manchester City vichwa chini baada ya kuondolewa kwenye michuano hiyo. Katika mechi ya kwanza iliyopigwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano

jesse-lingard-memphis-depay-manchester-united-champions-league-wolfsburg-dejected_3386314

Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo  hiyo jana..

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk

Real Madrid 8 – 0 Malmo

GROUP B;

Wolfsburg 3 – 2 Manchester United

PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow

GROUP C;

Benfica 1 – 2 Atletico Madrid

 

10 years ago

Mwananchi

Man City yatupwa kundi la kifo, Ronaldo aula

Ratiba ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana mjini Monaco, Ufaransa huku Manchester City ikionekana kupangwa katika kundi gumu kati ya timu zote za England zinazoshiriki ligi hiyo msimu huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA : Man United, Man City zachapwa

Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya

 

5 years ago

Manchester Evening News

Former Man Utd manager Jose Mourinho jokes about Man City 2018 title win after UEFA ban verdict

Former Man Utd manager Jose Mourinho jokes about Man City 2018 title win after UEFA ban verdict  Manchester Evening NewsOpinion: Barcelona beckons for Pep Guardiola in the wake of Manchester City’s Champions League ban  CaughtOffsideMan City fan says Financial Fair Play has been hijacked by UEFA to stop clubs joining the elite  GIVEMESPORTBernardo Silva Admits Desire to Return to Benfica After 'Leaving Too Early'  90min'Will Man Utd get Man City's 2018 Premier League title?' - Mourinho jokes...

 

10 years ago

BBCSwahili

Suarez aiadhibu Man City UEFA

Mshambuliaji wa Zamani wa Liverpool Luis Suarez amerejea nchini England hapo jana na bahati ya kipekee baada ya kuiwezesha timu yake mpya ya Barcelona kuibuka na ushindi wa mabao mawili 2 kwa moja dhidi ya wapinzani wao Manchester City.

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA kuamua mechi ya Man City na CSKA

Kilabu ya soka nchini Uingereza Manchester City kubaini siku ya ijumaa kuhusu mechi ya yake na CSKA Moscow

 

10 years ago

BBCSwahili

Man City yaanza kwa kichapo Uefa

Manchester City wameanza ligi klabu bingwa barani Ulaya baada ya kufungwa na Bayern Munich 1 - 0.

 

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid na Man City zashinda UEFA

Mechi za Klabu Bingwa zilizochezwa hapo jana Real Madrid na Manchester City ni miongoni mwa Timu zilizopata ushindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani