MAN CITY YATUPWA NJE UEFA
![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyQoqzCAclVXFKfNaBAMqhsRU67GbtN7iBh3ri0d89oXkQtbo32ZjaUs7sQ-pl42L7dVc5iMICUc9Vj*cWqI6T*/barca.jpg?width=650)
Barcelona wakishangilia bao lao lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31. Barcelona imefanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mabingwa Ulaya kwa kuifunga Manchester City bao 1-0 lililofungwa na Ivan Rakitic dakika ya 31 ya mchezo uliopigwa Nou Camp, Barcelona usiku huu na kuitupa nje City kwa jumla ya mabao 3-1. Manchester City vichwa chini baada ya kuondolewa kwenye michuano hiyo. Katika mechi ya kwanza iliyopigwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano
Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo hiyo jana..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk
Real Madrid 8 – 0 Malmo
GROUP B;
Wolfsburg 3 – 2 Manchester United
PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow
GROUP C;
Benfica 1 – 2 Atletico Madrid
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Man City yatupwa kundi la kifo, Ronaldo aula
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
UEFA : Man United, Man City zachapwa
5 years ago
Manchester Evening News17 Feb
Former Man Utd manager Jose Mourinho jokes about Man City 2018 title win after UEFA ban verdict
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Suarez aiadhibu Man City UEFA
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
UEFA kuamua mechi ya Man City na CSKA
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Man City yaanza kwa kichapo Uefa
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Real Madrid na Man City zashinda UEFA