Man City yatupwa kundi la kifo, Ronaldo aula
Ratiba ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana mjini Monaco, Ufaransa huku Manchester City ikionekana kupangwa katika kundi gumu kati ya timu zote za England zinazoshiriki ligi hiyo msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyQoqzCAclVXFKfNaBAMqhsRU67GbtN7iBh3ri0d89oXkQtbo32ZjaUs7sQ-pl42L7dVc5iMICUc9Vj*cWqI6T*/barca.jpg?width=650)
MAN CITY YATUPWA NJE UEFA
10 years ago
Vijimambo03 Jul
Wagombea kundi la kifo CCM
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2773598/medRes/1051524/-/maxh/240/maxw/460/-/48hcps/-/pich+wagombea.jpg)
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Kili Stars yapangwa kundi la kifo Chalenji
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) jana limepanga droo ya michuano ya Kombe la Chalenji, itakayoanza Novemba 21 mwaka huu nchini Ethiopia.
Droo hiyo imeonyesha kuwa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, imepangwa kundi A sambamba na wenyeji Ethiopia, Somalia na Zambia ‘Chipolopolo’ iliyoalikwa kwenye michuano hiyo na kulifanya kuwa kundi la kifo.
Wawakilishi wengine wa Tanzania, Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ wenyewe...
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano
Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo hiyo jana..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk
Real Madrid 8 – 0 Malmo
GROUP B;
Wolfsburg 3 – 2 Manchester United
PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow
GROUP C;
Benfica 1 – 2 Atletico Madrid
5 years ago
GIVEMESPORT15 Feb
Rui Pinto: The man who exposed Man City ahead of their Champions League ban
5 years ago
Mirror Online09 Mar
Sir Alex Ferguson cannot hide his delight after Man Utd beat Man City
5 years ago
Mirror Online25 Mar
Man Utd and Liverpool among clubs in 'bid to stop Man City playing in Champions League'