Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon
Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/06/30/140630051002_ghana_football_team_world_cup_624x351_afp.jpg)
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.
Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.
Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.
Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.
Nayo Algeria...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255F825900000578-2941812-Ghana_players_celebrate_in_front_of_coach_Avram_Grant_en_route_t-a-58_1423173831453.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FE1F400000578-2941812-PLayers_wait_on_the_pitch_as_a_helicopter_tries_to_control_an_ag-a-59_1423173831469.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FDBF800000578-2941812-Ghana_players_are_shielded_by_riot_police_after_being_pelted_by_-a-60_1423173831479.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Michuano ya Afcon kundi B
Wachezaji soka wa Afrika wataanza kumenyana wikendi hii wakati michuano ya mataifa ya Afrika itakapoanza nchini Equatoreal Guinea
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
AFCON:Kundi B limemenyana vikali
Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Equatorial Guinea,mzunguko wa pili uliendelea kwa timu za kundi B kumenyana.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
AFCON:Kundi B lashindwa kutoa mbabe
michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kundi B limeshindwa kuibua mbabe baada ya timu zote kutoka sare bao 1-1.
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
AFCON:Mataifa yalio katika kundi A
Kwenye orodha Fifa nchi hizi hasitoshani nguvu pia wapo wageni kama vile Congo.
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
AFCON : Nchi zilizo katika kundi D
Mchuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi D? Taarifa hii inakuhabarisha
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON:Nchi zilizo katika kundi C
Michuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi C? Taarifa hii inakuhabarisha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania