Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON:Kundi B lashindwa kutoa mbabe

michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kundi B limeshindwa kuibua mbabe baada ya timu zote kutoka sare bao 1-1.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Afcon kundi B

Wachezaji soka wa Afrika wataanza kumenyana wikendi hii wakati michuano ya mataifa ya Afrika itakapoanza nchini Equatoreal Guinea

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Kundi B limemenyana vikali

Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Equatorial Guinea,mzunguko wa pili uliendelea kwa timu za kundi B kumenyana.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON-Timu za kundi A zapasha misuli

Timu zinazoshiriki michuano ya kombe la Afrika toka kundi A ni Congo, Gabon na Burkina Faso na wenyeji Equatorial Guinea zinatofautiana kwa ubora katika viwango vya dunia vya Fifa

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON : Nchi zilizo katika kundi D

Mchuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi D? Taarifa hii inakuhabarisha

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Mataifa yalio katika kundi A

Kwenye orodha Fifa nchi hizi hasitoshani nguvu pia wapo wageni kama vile Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Nchi zilizo katika kundi C

Michuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi C? Taarifa hii inakuhabarisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon

Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari la Kanumba Lashindwa Kuuzika Sokoni

Ikiwa ni miaka mitatu sasa imepita tangu aliekuwa staa wa Bongo  Movies, marehemu Steven Kanumba, inadaiwa kuwa gari alilokuwa akilitembelea aina ya Toyota Lexus lenye namba za usajili T750 AER limezidi kudoda sokoni.

Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi kimepenyeza habari kuwa gari hilo lililonunuliwa na marehemu kwa shilingi milioni 78, linapatikana maeneo ya Msasani, jijini Dar kwenye jengo la mikopo ambapo linauzwa kwa bei chee ya shilingi milioni 18 hadi 14.

“Nilikuwa...

 

5 years ago

Michuzi

KUNDI LA SIMBA JAMII TANZANIA LAZIDI KUTOA MISAADA KWA JAMII

Leo tarehe 05 April,2020 kundi maarufu la Simba Jamii Tanzania limekabidhi sehemu ya misaada ya viti vya walemavu (wheelchairs) kwa mwanafunzi mlemavu Lucy Furaha Kajuni wa shule ya Msingi Nzovwe iliyopo mkoani Mbeya.

Msaada huo ulitolewa mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya Shule hiyo Ndg Happy Bakamba pamoja na maafisa kadhaa wa Kata.

Simba Jamii iliwakilishwa na wanachama wake Ndg Jacob Madege,Ndg Mwakalilila,Ndg Anangisye na Ndg Maureen.

Mkuu wa msafara wa Simba Jamii Ndg Maureen amedai kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani