Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON-Timu za kundi A zapasha misuli

Timu zinazoshiriki michuano ya kombe la Afrika toka kundi A ni Congo, Gabon na Burkina Faso na wenyeji Equatorial Guinea zinatofautiana kwa ubora katika viwango vya dunia vya Fifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Afcon kundi B

Wachezaji soka wa Afrika wataanza kumenyana wikendi hii wakati michuano ya mataifa ya Afrika itakapoanza nchini Equatoreal Guinea

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Wizara ya Habari yawatunishia misuli Hazina.

 Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Mji wa Morogoro na viunga vyake imepambwa kwa shamra shamra za mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea katika viwanja mbalimbali mjini hapo. Kwa kipindi cha wiki mbili, watumishi wamekuwa wakionesha vipaji vyao katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, kuvuta kamba, riadha, mbio za baiskeli, mpira wa pete na michezo ya ndani. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ambayo ndio Wizara yenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Kundi B limemenyana vikali

Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Equatorial Guinea,mzunguko wa pili uliendelea kwa timu za kundi B kumenyana.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Nchi zilizo katika kundi C

Michuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi C? Taarifa hii inakuhabarisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Mataifa yalio katika kundi A

Kwenye orodha Fifa nchi hizi hasitoshani nguvu pia wapo wageni kama vile Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Kundi B lashindwa kutoa mbabe

michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kundi B limeshindwa kuibua mbabe baada ya timu zote kutoka sare bao 1-1.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON : Nchi zilizo katika kundi D

Mchuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi D? Taarifa hii inakuhabarisha

 

10 years ago

Mwananchi

Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon

Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON 2015:Makundi ya timu 16 yatajwa

Timu 16 zimepangwa kwenye makundi manne ya michuano ya AFCON 2015 nchini Equatorial Guinea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani