Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON:Mataifa yalio katika kundi A

Kwenye orodha Fifa nchi hizi hasitoshani nguvu pia wapo wageni kama vile Congo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Nchi zilizo katika kundi C

Michuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi C? Taarifa hii inakuhabarisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON : Nchi zilizo katika kundi D

Mchuano ya kuwania kombe la Afcon inaanza Jumamosi tarehe 17. Je una habari kuhusu nchi zilizo katika kundi D? Taarifa hii inakuhabarisha

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Afcon kundi B

Wachezaji soka wa Afrika wataanza kumenyana wikendi hii wakati michuano ya mataifa ya Afrika itakapoanza nchini Equatoreal Guinea

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Kundi B limemenyana vikali

Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Equatorial Guinea,mzunguko wa pili uliendelea kwa timu za kundi B kumenyana.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON-Timu za kundi A zapasha misuli

Timu zinazoshiriki michuano ya kombe la Afrika toka kundi A ni Congo, Gabon na Burkina Faso na wenyeji Equatorial Guinea zinatofautiana kwa ubora katika viwango vya dunia vya Fifa

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Kundi B lashindwa kutoa mbabe

michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kundi B limeshindwa kuibua mbabe baada ya timu zote kutoka sare bao 1-1.

 

10 years ago

Mwananchi

Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon

Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.

 

11 years ago

GPL

MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA

Balozi Tuvako  Manongi,akiandika katika kitabu  cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa  Udachi ( Nertherlands) kuomboleza familia 298   ambazo maisha yao yamekatishwa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria MH17 kuangushwa nchini Ukraine wiki iliyopita.
Balozi Manongi akiwaombea marehemu…

 

11 years ago

Michuzi

MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA

Mhe. Balozi Tuvako Manongi, Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jana Jumatano ameungana na Mabalozi wengine wanaoziwakilishi Nchi zao katika Umoja wa Mataifa, kutia saini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Netherlandes) katika Umoja wa Mataifa kuwakumbuka watu 298 waliopoteza maisha baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria ya MH17 inayomilikiwa la Shirika la Ndege la Malaysia ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani