Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele

Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele

Timu ya Taifa ya Ghana "Black Stars"
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.

Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.

Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.

Nayo Algeria...

 

10 years ago

Mwananchi

Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon

Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON: DRC yasonga, Zambia yaaga

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekuwa timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kusonga hatua ya hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Mataifa ya Afrika

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC yasonga mbele CAF

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamefanikiwa kusonga mbele katika mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa jumla ya mabao 3-2, licha ya kulala ugenini kwa mabao 2-1 dhidi ya BDF ya Botswana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars yasonga mbele

Taifa Stars imesonga mbele katika michezo ya raundi ya kwanza kwa Kanda ya Afrika ya mchujo wa Kombe la dunia

 

10 years ago

Habarileo

Magharibi yasonga mbele Zanzibar

TIMU ya soka ya Wilaya ya Magharibi imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Zanzibar CUP baada ya kuifunga Wilaya ya Kaskazini B mabao 3-2.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yasonga mbele UEFA

Manchester Utd imefanikiwa kusonga mbele kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 4-0 dhidi ya Club Brugge na kufanya matokeo kuwa 7-1.

 

10 years ago

GPL

MAN UTD YASONGA MBELE UEFA

Kutoka kulia Wayne Rooney, Memphis Depay na  Mata wakishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 20 kipindi cha kwanza. Herrera akishangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 63 kipindi cha pili.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani