Man U yasonga mbele UEFA
Manchester Utd imefanikiwa kusonga mbele kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 4-0 dhidi ya Club Brugge na kufanya matokeo kuwa 7-1.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2BAF7A6C00000578-0-image-a-40_1440616274537.jpg)
MAN UTD YASONGA MBELE UEFA
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Yanga SC yasonga mbele CAF
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Taifa Stars yasonga mbele
9 years ago
Habarileo12 Oct
Magharibi yasonga mbele Zanzibar
TIMU ya soka ya Wilaya ya Magharibi imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Zanzibar CUP baada ya kuifunga Wilaya ya Kaskazini B mabao 3-2.
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yasonga mbele michuano ya Afrika
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele