Yanga yasonga mbele michuano ya Afrika
Young Africans ya Tanzania imesonga mbele michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kuibwaga BDF ya Botswana magoli 3-2
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Yanga SC yasonga mbele CAF
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamefanikiwa kusonga mbele katika mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa jumla ya mabao 3-2, licha ya kulala ugenini kwa mabao 2-1 dhidi ya BDF ya Botswana.
10 years ago
Vijimambo04 Apr
YANGA YASONGA MBELE HATUA YA 16 YAFUNGWA GOLI 1 NA PLATNUM
Timu ya Yanga imeweza kuvuka hatua ya 16 bora michuano ya kombe la shirikisho baada ya kufungwa goli 1-0 na timu ya Platnum ya Zimbabwe katika mechi ya marudiano iliyochezewa katika uwanja wa Zvishavane nchini Zimbabwe.
Mechi ya kwanza ya timu hizo iliyochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, timu ya Yanga ilishinda bao 5-1 dhidi ya timu hiyo ya Zimbabwe na kufanya timu ya Yanga kuibuka mshindi wa jumla ya mabao 5-2 dhidi ya Platnum,
Mchezaji Walter Msoma wa Platnum ndiye aliyeifungia...
Mechi ya kwanza ya timu hizo iliyochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, timu ya Yanga ilishinda bao 5-1 dhidi ya timu hiyo ya Zimbabwe na kufanya timu ya Yanga kuibuka mshindi wa jumla ya mabao 5-2 dhidi ya Platnum,
Mchezaji Walter Msoma wa Platnum ndiye aliyeifungia...
10 years ago
Vijimambo26 Jul
YANGA YASONGA MBELE KWA USHINDI MWEMBAMBA SASA KUKUTANA NA AZAM JUMATATO PATACHIMBIKAJE
Mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe (katikati) akishangilia goli lake kwa kuwapungia mkono mashabiki
Mabingwa wa Tanzania bara Young Africans ‘Yanga’, leo wameibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0 mbele ya Khartoum Nalitonal Club katika mwendelezo wa michuano ya Kagame Cup mechi iliyopigwa leo jioni kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo ulianza kwa kasi lakini Khartoum walionekana kuwamudu vyema Yanga dakika za mwanzoni na walifanikiwa kutengeneza nafasi kadhaa lakini hawakuweza...
9 years ago
Habarileo12 Oct
Magharibi yasonga mbele Zanzibar
TIMU ya soka ya Wilaya ya Magharibi imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Zanzibar CUP baada ya kuifunga Wilaya ya Kaskazini B mabao 3-2.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Man U yasonga mbele UEFA
Manchester Utd imefanikiwa kusonga mbele kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 4-0 dhidi ya Club Brugge na kufanya matokeo kuwa 7-1.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Taifa Stars yasonga mbele
Taifa Stars imesonga mbele katika michezo ya raundi ya kwanza kwa Kanda ya Afrika ya mchujo wa Kombe la dunia
10 years ago
Michuzi16 Feb
9 years ago
GPLMAN UTD YASONGA MBELE UEFA
Kutoka kulia Wayne Rooney, Memphis Depay na  Mata wakishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 20 kipindi cha kwanza. Herrera akishangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 63 kipindi cha pili.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania