AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele
Timu ya Taifa ya Ghana "Black Stars"
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.
Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.
Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.
Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.
Nayo Algeria...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Bayern, Atletico zasonga mbele
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Equatorial Guinea na Congo zasonga mbele
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Sudan, Rwanda zasonga mbele Cecafa
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Tottenham,Bradford,Southampton zasonga mbele
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Timu 16 zasonga mbele klabu bingwa Ulaya
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255F825900000578-2941812-Ghana_players_celebrate_in_front_of_coach_Avram_Grant_en_route_t-a-58_1423173831453.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FE1F400000578-2941812-PLayers_wait_on_the_pitch_as_a_helicopter_tries_to_control_an_ag-a-59_1423173831469.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FDBF800000578-2941812-Ghana_players_are_shielded_by_riot_police_after_being_pelted_by_-a-60_1423173831479.jpg)
10 years ago
TheCitizen23 Jan
AFCON: Algeria and Senegal seek qualification