Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele

Timu ya Taifa ya Ghana "Black Stars"
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.

Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.

Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.

Nayo Algeria...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele

Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

 

10 years ago

Mwananchi

Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon

Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Bayern, Atletico zasonga mbele

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Bayern Munich pamoja na Atletico Madrid, zimekuwa timu za kwanza kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Equatorial Guinea na Congo zasonga mbele

Wenyeji Equatoria Guinea na Congo Brazaville zimekuwa timu za kwanza kusonga mbele katika hatua ya robo fainali kutoka kundi A ya Michuano ya Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan, Rwanda zasonga mbele Cecafa

Timu mbili za Sudan na Rwanda zimefuzu kwa hatua ya nusu fainali ya michuano ya Cecafa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tottenham,Bradford,Southampton zasonga mbele

Timu za Tottenham, Bradford na Southampton zilishinda michezo yao ya Marudiano na kuingia Raundi ya 4 ya kombe la FA.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 16 zasonga mbele klabu bingwa Ulaya

Michezo 8 ya kuhitimisha hatua ya makundi kwa michuano ya klabu bigwa barani ulaya ilipigwa hapo jana.

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

TheCitizen

AFCON: Algeria and Senegal seek qualification

>Billed as the toughest group at this year’s Africa Cup of Nations, Group C could be done and dusted with a game to spare today. Algeria, widely tipped as favourites coming into the competition, and dark horses Senegal won their opening games and so could qualify for the last eight if both record wins against Ghana and South Africa respectively.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani