Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bayern, Atletico zasonga mbele

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Bayern Munich pamoja na Atletico Madrid, zimekuwa timu za kwanza kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sudan, Rwanda zasonga mbele Cecafa

Timu mbili za Sudan na Rwanda zimefuzu kwa hatua ya nusu fainali ya michuano ya Cecafa

 

10 years ago

Vijimambo

AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele

Timu ya Taifa ya Ghana "Black Stars"
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.

Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.

Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.

Nayo Algeria...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tottenham,Bradford,Southampton zasonga mbele

Timu za Tottenham, Bradford na Southampton zilishinda michezo yao ya Marudiano na kuingia Raundi ya 4 ya kombe la FA.

 

10 years ago

BBCSwahili

Equatorial Guinea na Congo zasonga mbele

Wenyeji Equatoria Guinea na Congo Brazaville zimekuwa timu za kwanza kusonga mbele katika hatua ya robo fainali kutoka kundi A ya Michuano ya Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 16 zasonga mbele klabu bingwa Ulaya

Michezo 8 ya kuhitimisha hatua ya makundi kwa michuano ya klabu bigwa barani ulaya ilipigwa hapo jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Chelsea v Atletico, Real v Bayern

Mabingwa watetezi Bayern Munich watawavaa mabingwa mara tisa Real Madrid wakati Chelsea wataivaa Atletico Madrid kwa mujibu wa ratiba ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa iliyopangwa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Bayern, Real, Atletico juu kwa juu

Ujerumani. Vinara wa Bundesliga, Bayern Munich wameweka rekodi ya kutofungwa mechi 50 za mashindano yote msimu huu baada ya kushinda mabao 2-1 dhidi ya Bayer Leverkusen.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani