Tottenham,Bradford,Southampton zasonga mbele
Timu za Tottenham, Bradford na Southampton zilishinda michezo yao ya Marudiano na kuingia Raundi ya 4 ya kombe la FA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Bayern, Atletico zasonga mbele
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Sudan, Rwanda zasonga mbele Cecafa
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Equatorial Guinea na Congo zasonga mbele
10 years ago
Vijimambo28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/06/30/140630051002_ghana_football_team_world_cup_624x351_afp.jpg)
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.
Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.
Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.
Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.
Nayo Algeria...
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Timu 16 zasonga mbele klabu bingwa Ulaya
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71907000/jpg/_71907964_tottenham-adebayorgetty.jpg)
Southampton 2-3 Tottenham Hotspur
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Madada 3 wa Bradford waliingia Syria
11 years ago
Habarileo20 Mar
Vyuo vikuu Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano zaidi kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hii inakuja wakati ambapo timu ya watu wanne toka chuo hicho maarufu cha Uingereza ikiwa Mzumbe kufanya tathmini ya kawaida ya kila mwaka kuona jinsi ushirikiano wao unavyoendelea.