Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tottenham,Bradford,Southampton zasonga mbele

Timu za Tottenham, Bradford na Southampton zilishinda michezo yao ya Marudiano na kuingia Raundi ya 4 ya kombe la FA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bayern, Atletico zasonga mbele

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Bayern Munich pamoja na Atletico Madrid, zimekuwa timu za kwanza kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan, Rwanda zasonga mbele Cecafa

Timu mbili za Sudan na Rwanda zimefuzu kwa hatua ya nusu fainali ya michuano ya Cecafa

 

10 years ago

BBCSwahili

Equatorial Guinea na Congo zasonga mbele

Wenyeji Equatoria Guinea na Congo Brazaville zimekuwa timu za kwanza kusonga mbele katika hatua ya robo fainali kutoka kundi A ya Michuano ya Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika

 

10 years ago

Vijimambo

AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele

Timu ya Taifa ya Ghana "Black Stars"
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.

Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.

Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.

Nayo Algeria...

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 16 zasonga mbele klabu bingwa Ulaya

Michezo 8 ya kuhitimisha hatua ya makundi kwa michuano ya klabu bigwa barani ulaya ilipigwa hapo jana.

 

11 years ago

BBC

Southampton 2-3 Tottenham Hotspur

Emmanuel Adebayor scores his opening league goals of the season on his first start, as managerless Tottenham beat Southampton 3-2.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano

CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Madada 3 wa Bradford waliingia Syria

Madada watatu kutoka mjini Bradford nchini Uingereza na watoto wao tisa wanaohofiwa kusafiri kuelekea nchini Syria wamevuka mpaka na kuingia nchini humo

 

11 years ago

Habarileo

Vyuo vikuu Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano

CHUO Kikuu Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano zaidi kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hii inakuja wakati ambapo timu ya watu wanne toka chuo hicho maarufu cha Uingereza ikiwa Mzumbe kufanya tathmini ya kawaida ya kila mwaka kuona jinsi ushirikiano wao unavyoendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani