Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Olivier Giroud aingia kwenye vitabu vya rekodi za Arsenal

2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758

Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na timu ya tafifa ya Ufaransa Olivier Giroud baada ya kufunga wikiend hii amefikisha idadi ya magoli 50 katika ligi ya EPL goli hilo la mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya Alan Hutton kumvuta Theo Walcott kwenye eneo la box.

2F56C70800000578-0-image-m-23_1450049724758

2F59569700000578-3358700-image-a-40_1450051755102

Giroud alifunga mkwaju huo wa penati na kufikisha magoli 14 msimu huu na kuwa mchezaji wa saba wa Arsenal kufunga magoli 50 kwenye ligi ya EPL wakati yeye ikimchukua michezo 113 kufikia rekodi hiyo.

2F56C0DB00000578-0-image-a-24_1450049738140

Wachezaji...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

Karim Benzema repeats ridicule of Chelsea striker Olivier Giroud with fresh declaration

Karim Benzema repeats ridicule of Chelsea striker Olivier Giroud with fresh declaration  Mirror Online'You don't compare Formula 1 with karting' - Benzema takes aim at Giroud  GoalIs Cristiano Ronaldo's proposed pay cut really more than some entire leagues? | Gab & Juls  ESPN UKOlivier Giroud mocked by Karim Benzema in astonishing jibe  Sky SportsBenzema defends Giroud 'Formula 1' jibe: I was just telling the truth  GoalView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mwananchi

Giroud ahesabiwa saa Arsenal

Licha ya kung’ara na kuivusha klabu yake, Arsenal dhidi ya Olympiakos, Jumatano usiku kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini mshambuliaji Olivier Giroud ameambiwa jambo ambalo litamnyima usingizi.

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

11 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI‏

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...

 

10 years ago

GPL

FAINALI KOMBE LA FA ARSENAL INATAKA REKODI KWA ASTON VILLA

London,England ARSENAL leo Jumamosi inacheza fainali yake ya 19 ya Kombe la FA huku ikiwa na rekodi ya kuwa kinara wa kutwaa mara nyingi taji hilo sambamba na Manchester United ikiwa imetwaa mara 11.Klabu hii ya London, kwenye Uwanja wa Wembley inacheza na Aston Villa ya jijini Birmingham. Mshambuliaji wa Arsenal, Alex Sanchez. Hadi inafikia hatua ya kucheza fainali, Arsenal iliitoa Reading katika nusu fainali wakati Aston Villa...

 

9 years ago

Bongo5

Madee aingia kwenye biashara ya magari ya kukodi

Madee2

Madee amefungua mwaka kibiashara zaidi kwa kuja na kampuni ya kukodisha magari iitwayo Tip Top Connection Tour.

Madee2

Madee amesema ameona ni bora afungue mwaka 2016 kibiashara zaidi.

“Nimefungua kampuni ya kukodisha magari ambayo inaitwa Tip Top Connection Tour,” alisema.

“Tutakuwa tunakodisha watu ambao watakuwa na safari zao ndani ya Dar es Salaam na nje wanione mimi.”

Kwahiyo mwaka 2016 ndio utakuwa hivyo thabiti kabisa kwa sababu tayari tulikuwa tunajaribu kuongeza gari na kufikia saba,...

 

9 years ago

Bongo5

Tanzanite wa H.Baba aingia kwenye mashindano ya urembo Rwanda

Mtoto wa kike wa H.Baba, Tanzanite, amedaiwa kutajwa kushiriki katika mashindano ya urembo ya watoto wa mastaa nchini Rwanda. H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa hivi karibuni Tanzanite atasafiri kuelekea nchini Rwanda kwaajili ya mashindano hayo. “Kenya tayari wameshamuona, mwezi wa 12 anaenda Rwanda kwenye mashindano ya urembo ya watoto wa mastaa ambayo yanafanyika nchini Rwanda,” amesema […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani