Olivier Giroud aingia kwenye vitabu vya rekodi za Arsenal
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na timu ya tafifa ya Ufaransa Olivier Giroud baada ya kufunga wikiend hii amefikisha idadi ya magoli 50 katika ligi ya EPL goli hilo la mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya Alan Hutton kumvuta Theo Walcott kwenye eneo la box.
Giroud alifunga mkwaju huo wa penati na kufikisha magoli 14 msimu huu na kuwa mchezaji wa saba wa Arsenal kufunga magoli 50 kwenye ligi ya EPL wakati yeye ikimchukua michezo 113 kufikia rekodi hiyo.
Wachezaji...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online30 Mar
Karim Benzema repeats ridicule of Chelsea striker Olivier Giroud with fresh declaration
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Giroud ahesabiwa saa Arsenal
10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.
Kitunga amesema...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntHRtIROhX0oCadlUZ-zj2q7A8GavR7aGzsra77JqHeDkLTIseGWm-zlUI9Fu2*lTaeGYmOd9XgASUU99lWaLyZr/arsenal___aston_villa___fa_cup_finali_2015_by_lavista_designerd8qklpk.jpg)
FAINALI KOMBE LA FA ARSENAL INATAKA REKODI KWA ASTON VILLA
9 years ago
Bongo504 Jan
Madee aingia kwenye biashara ya magari ya kukodi
![Madee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Madee2-300x300.jpg)
Madee amefungua mwaka kibiashara zaidi kwa kuja na kampuni ya kukodisha magari iitwayo Tip Top Connection Tour.
Madee amesema ameona ni bora afungue mwaka 2016 kibiashara zaidi.
“Nimefungua kampuni ya kukodisha magari ambayo inaitwa Tip Top Connection Tour,” alisema.
“Tutakuwa tunakodisha watu ambao watakuwa na safari zao ndani ya Dar es Salaam na nje wanione mimi.”
Kwahiyo mwaka 2016 ndio utakuwa hivyo thabiti kabisa kwa sababu tayari tulikuwa tunajaribu kuongeza gari na kufikia saba,...
9 years ago
Bongo528 Sep
Tanzanite wa H.Baba aingia kwenye mashindano ya urembo Rwanda