Mnyika kumburuza Maghembe kortini
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, anakusudia kumshitaki Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, kwa madai ya kumnyima nyaraka zinazohusiana na miradi ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaam. Mnyika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Vijiji kumburuza kortini Kamishna wa Ardhi
MGOGORO wa ardhi baina ya wakulima na wafugaji unaoitesa Wilaya ya Kilosa kwa muda mrefu unaingia katika hatua nyingine baada ya Kijiji cha Mfulu, Mambegwa na Mbigili kumburuza mahakamani Kamishna...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Prof. Maghembe jiuzulu — Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtumia ujumbe Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, akimshauri ajiuzulu kutokana na usugu wa tatizo la maji jijini Dar es Salaam. Mnyika pia aliwataka...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mbowe kumburuza Zitto mahakamani
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), anakusudia kumburuza mahakamani, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa madai ya kumkashifu na kumchafulia jina. Kwa mujibu wa taarifa...
10 years ago
Mtanzania09 Sep
Yanga kumburuza Okwi FIFA
![Emmanuel Okwi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Emmanuel-Okwi.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Emmanuel Okwi
NA ZAITUNI KIBWANA, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Yanga unakusudia kuwasilisha malalamiko yao katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kumuidhinisha Okwi kuichezea Simba.
Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Richard Shinamkutwa, ilikutana juzi kujadili usajili huo uliozua utata na kumuidhinisha Okwi kama mchezaji huru, akiwemo beki, Abdi Banda wa Coastal Union, aliyeidhinishwa pia...
10 years ago
VijimamboWANAKIJIJI KILOMBERO KUMBURUZA MAHAKAMANI MWEKEZAJIâ€
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Mfugaji atishia kumburuza mahakamani diwani
MFUGAJI na mkulima wa Kijiji cha Ufana, Kata ya Mgungira, Tarafa ya Sepuka, wilayani hapa mkoani Singida, Sawaka Kujelwa, ametishia kuwafungulia mashtaka mahakamani viongozi wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
10 years ago
GPLWANAKIJIJI KILOMBERO KUMBURUZA MAHAKAMANI MWEKEZAJI
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Chadema Singida wapanga kumburuza mahakamani msimamizi wa uchaguzi
Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA manispaa ya Singida, Vicent Mughwai (katikati) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kusudio la chama hicho kumfungulia shitaka msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa manispaa ya Singida, kwa tuhuma ya kukiuka kanuni za uchaguzi huo. Vicent ndugu yake na mbunge wa jimbo la Singida mashariki na mnadhimu mkuu wa sheria CHADEMA, Tundu Lissu, ametangaza rasmi kumng’oa mbunge wa CCM jimbo la Singida mjini Mohammed Gullam Dewji, kwenye uchaguzi...