Wasomi, wananchi wamshukia Kinana
Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuwa wabunge wa chama hicho wanaunga mkono kila hoja inayowasilishwa na Serikali bila kutathmini matokeo yake, imekosolewa na wasomi na wananchi waliosema amechelewa, huku wabunge wake wakikiri udhaifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Wasomi, wanaharakati wamshukia Gwajima
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Wanaharakati, wasomi wamshukia Magufuli kuhusu mabadiliko
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Wasomi wamshukia Mkapa kwa kauli za kuudhi
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wananchi wamshukia Makinda, wabunge CCM
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Wasomi, wananchi waukosoa
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wasomi, wananchi walipongeza Bunge
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wananchi, wasomi wasifu uteuzi wa Majaliwa
KUTOKANA na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, watu kutoka kada tofauti katika jamii wameupongeza uteuzi huo. Jana, Rais John Magufuli kupitia Bunge, alitangaza uteuzi wa Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Bunge lilithibitisha uteuzi wake kwa kura nyingi.
10 years ago
Vijimambo05 Jan
11 years ago
Habarileo16 Apr
Wananchi wamsimamisha Kinana awasikilize
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutoka Kata ya Karema kwenda mjini Mpanda, mkoani Katavi ulijikuta ukisimamishwa baada ya wananchi katika vijiji mbalimbali kufunga njia wakiwa na mabango wakitaka asikilize shida zao.