Wanaharakati, wasomi wamshukia Magufuli kuhusu mabadiliko
Baadhi ya wasomi na wanaharakati wamekemea kauli ya mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli ambaye amekuwa akiwaonya wanaotaka mabadiliko ya haraka nchini akiwakumbusha yaliyojitokeza nchini Libya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Wasomi, wanaharakati wamshukia Gwajima
Baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuibua mambo mazito ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa juzi, wanaharakati na wasomi wametoa maoni yao na kueleza kusikitishwa na hatua za kiongozi huyo wa dini kutoa siri za waumini wake.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wasomi, wananchi wamshukia Kinana
Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuwa wabunge wa chama hicho wanaunga mkono kila hoja inayowasilishwa na Serikali bila kutathmini matokeo yake, imekosolewa na wasomi na wananchi waliosema amechelewa, huku wabunge wake wakikiri udhaifu.
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Wasomi wamshukia Mkapa kwa kauli za kuudhi
Siku moja baada ya ufunguzi wa kampeni za CCM, wasomi na wananchi wamesema kauli ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kuwa wanaosema wanataka kuikomboa Tanzania ni “wapumbavu na malofa†haikustahili kutolewa na kiongozi huyo.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Wasomi, wanaharakati waeleza dosari zilivyoathiri uchaguzi
Baadhi ya wasomi na wanaharakati wamesikitishwa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulivyokuwa na dosari zinazofanana katika maeneo mengi ya nchi na kueleza wasiwasi wao kuwa huenda kulikuwa na njama za kuvuruga uchaguzi huo.
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria
Wasomi mbalimbali nchini wamelipongeza Bunge kwa kufanya uamuzi kwa maridhiano na kutoa mapendekezo manane kwa Serikali ili ichukue hatua dhidi ya wote waliohusika katika wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Ni wakati wa wasomi kushiriki mabadiliko chanya
KIONAMBALI alikuwa akisoma kitu kwenye mtandao. Mwandishi wa kitu kile alikuwa anasema kwamba wanafunzi wenye akili nyingi husoma na kuwa wahandisi. Wenye akili za wastani husoma na kuwa wahasibu na...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-huOb9ZE0JCo/Xl1kq-7baXI/AAAAAAALgeE/0vV7kKWzcBAkHJ2p4Cbi_qgzfM73CvFZgCLcBGAsYHQ/s72-c/MEMBE.jpg)
WANAHARAKATI WAZALENDO WATUMA UJUMBE KWA WAPINZANI KUHUSU BERNARD MEMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-huOb9ZE0JCo/Xl1kq-7baXI/AAAAAAALgeE/0vV7kKWzcBAkHJ2p4Cbi_qgzfM73CvFZgCLcBGAsYHQ/s400/MEMBE.jpg)
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanaharakati Wazalendo Siasa Tanzania(UWASAT) umevitaka vyama vya upinzani nchini kuwa makini na aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Bernard Membe ambaye kwa sasa amefukuzwa kwenye Chama hicho.
Kwa mujibu wa UWASAT ni kwamba huenda Membe ameondolewa CCM kama mtego kwa wapinzani na hivyo iwapo wataamua kumchukua inaweza kusababisha upinzani nchini kumalizwa kwa urahsi zaidi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Umoja huo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
DKT MAGUFULI ALIVYOITEKA MUSOMA, ASEMA MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania