Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria

Wasomi mbalimbali nchini wamelipongeza Bunge kwa kufanya uamuzi kwa maridhiano na kutoa mapendekezo manane kwa Serikali ili ichukue hatua dhidi ya wote waliohusika katika wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wasomi, wananchi walipongeza Bunge

Wasomi, wanasiasa na wananchi wamepongeza mapendekezo mapya ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) yanayoazimia kuwawajibisha wale wote waliohusika na kuchotwa kwa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Wataka hatua za kisheria kwa wahusika

Wasomi, wanasiasa na wanaharakati wametaka hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa wote waliohusika na uchotwaji wa fedha katika akaunti ya escrow.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba

>Wasomi na wataalamu mbalimbali wameshauri kuangaliwa upya kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwabana wajumbe wanaotumia vikao vya Bunge Maalumu kujijenga kisiasa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015, badala ya masilahi ya wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi, wanaharakati wamshukia Gwajima

Baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuibua mambo mazito ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa juzi, wanaharakati na wasomi wametoa maoni yao na kueleza kusikitishwa na hatua za kiongozi huyo wa dini kutoa siri za waumini wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaharakati, wasomi wamshukia Magufuli kuhusu mabadiliko

Baadhi ya wasomi na wanaharakati wamekemea kauli ya mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli ambaye amekuwa akiwaonya wanaotaka mabadiliko ya haraka nchini akiwakumbusha yaliyojitokeza nchini Libya.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi, wanaharakati waeleza dosari zilivyoathiri uchaguzi

Baadhi ya wasomi na wanaharakati wamesikitishwa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulivyokuwa na dosari zinazofanana katika maeneo mengi ya nchi na kueleza wasiwasi wao kuwa huenda kulikuwa na njama za kuvuruga uchaguzi huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatua kali kwa wanaharakati waliokamatwa DRC

Waziri wa Habari Lambert Mende amesema wanaharataki ambao wanaozuiliwa waliletwa ndani ya nchi ili kuongoza maasi dhidi ya serikali.

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi, wanaharakati wataka Katiba Mpya imtambue mtoto na haki zake

Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.

MCHAKATO wa kujadili na kuandika Katiba Mpya unaendelea bungeni mjini Dodoma, licha ya kuwepo kwa mvutano na mgawanyiko wa makundi ya wabunge wa bunge maalumu wanaojadili Rasimu ya Pili iliyowasilishwa kwao. Wakati hayo yakiendelea viongozi, wanaharakati na wadau wa watoto wanapendekeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani