Wasomi, wananchi walipongeza Bunge
Wasomi, wanasiasa na wananchi wamepongeza mapendekezo mapya ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) yanayoazimia kuwawajibisha wale wote waliohusika na kuchotwa kwa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WALIPONGEZA SHIRIKA LA SEMA KWA UTOAJI ELIMU YA KUJIKINGA VIRUSI VYA CORONA
Amani Twaha, akitoa elimu.
Elimu ikitolewa kwa wasafisha viatu.
Witness Anderson, akitoa elimu kwa muuza mitumba.
Ipyana Mwakyusa akitoa elimu hiyo kwa madereva wa bajaj.
Mary Kilimba (kulia) na Veronica Peter wakitoa elimu hiyo kwa njia ya mabango.
Wananchi wakiwa wamevaa barakoa kujikinga na Corona.
Tatu Muna, akizungumzia kuhusu Corona.
Maafisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida, Mary Kilimba (kushoto) na Veronica ...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Karibu Music Festival 2015 yaacha gumzo Bagamoyo, Wananchi,Wasanii walipongeza kila kona!
Wapiga vyombo wa Salabi Band kutoka Kenya wakishambulia jukwaa usiku wa kuamkia leo Novemba 9, wakati wa kufunga tamasha la Muziki la Karibu Music Festival 2015, katika viwanja vya Mwanakalenge ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa pili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha la mziki wenye vionjo mbalimbali ikiwemo vile vya ngoma ya asili, utamaduni na kisasa ambalo pia linashirikisha wasanii kutoka ndani ya Tanzania na nje ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3AWWcK1HZe-vTd6jZVPYu3drG0ScgywA8eYvjU8czEkwUTN-hX4E0E0Iq5LLXoMbidUH*ScpcFwKCsG*hVnsMmt/KaimuMkurugenziMtendajiLilianLiundiwaTGNPMtandaoakizungumza..jpg)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WALIPONGEZA BUNGE LA KATIBA KUONESHA USAWA WA JINSIA
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Wasomi, wananchi waukosoa
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wasomi, wananchi wamshukia Kinana
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wananchi, wasomi wasifu uteuzi wa Majaliwa
KUTOKANA na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, watu kutoka kada tofauti katika jamii wameupongeza uteuzi huo. Jana, Rais John Magufuli kupitia Bunge, alitangaza uteuzi wa Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Bunge lilithibitisha uteuzi wake kwa kura nyingi.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Wasomi waliponda Bunge la Katiba