Wasomi waliponda Bunge la Katiba
>Baadhi ya wasomi nchini wameuponda utaratibu wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutumia muda mrefu kutengeneza kanuni na kusema kitendo hicho ni matumizi mabaya ya fedha za walipakodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba
11 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wasomi, wananchi walipongeza Bunge
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Wasomi waianzia Rasimu ya Katiba Dar
11 years ago
Habarileo28 Oct
Wasomi: Katiba ‘mpya’ imeinufaisha Zanzibar
WASOMI wamepongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuhusu Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi kwa kuichambua vizuri na kubainisha manufaa yake kwa Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wasomi waionya CCM kuhusu Katiba mpya
WASOMI na wafuatiliaji wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuheshimu maoni ya wananchi yaliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Wananchi hao wamefikia hatua...
10 years ago
Habarileo06 Nov
Wasomi waguswa ‘zuio’ kampeni Katiba mpya
BAADHI ya wasomi nchini wamepongeza hotuba ya Rais Jakaya Kikwete inayosisitiza juu ya umuhimu wa wanasiasa kuacha kufanya kampeni zinazohusu Katiba Pendekezwa hadi muda wa kufanya hivyo utakapowadia kwa mujibu wa sheria.
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria