Chadema wamshukia Nape.
Kufuatia kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, (pichani) kudai vijana wa ‘Red Brigade’ wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaandaliwa kijeshi kwa lengo la kufanya ugaidi, chama hicho kimeibuka na kumkemea kiongozi huyo wa chama tawala.
Akizungumza na vijana wa chama hicho mjini Tabora juzi, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, alisema mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa chama hicho ni ya kuwajengea ukakamavu na ujasiri ili wawe...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Sep
NAPE: MAANDAMANO CHADEMA NI BIASHARA
Adai huuzipeleka picha za vurugu nje ya nchi Adai Chadema wanafanya ili kukinusuru chama chao Awatuhumu kuwatoa kafara waandamanaji Asisitiza laaana ya damu za Watanzania hazitawaacha.
10 years ago
Habarileo27 Sep
Nape-Maandamano ni biashara Chadema
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema vyama vya upinzani nchini vimeshindwa kufanya kazi za siasa badala yake vimegeuka kuwa vya wanaharakati. Aidha ametaka maandamano yanayohamasishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yapuuzwe kwa kile alichosema ni biashara ya kuuza picha za vurugu nje ya nchi kwa ajili ya kupata misaada kutoka mataifa makubwa.
11 years ago
Habarileo02 Mar
Chadema wamjia juu Nape
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye kutaja hadharani majina ya mataifa, watu na vyama vya upinzani, anavyodai vimepewa fedha na mataifa ya kigeni ili vivuruge mchakato wa Katiba mpya.
9 years ago
TheCitizen20 Aug
Loser to Nape gets Chadema nomination
10 years ago
Mtanzania06 Mar
Nape awananga Red Brigade wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, MPWAPWA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye amerusha kombora kwa Chama cha Demokrasia na Maendekeo (CHADEMA) akidai makundi ya vijana wa ulinzi vya chama hicho (Red Brigade) yameandaliwa kwa ajili ya kuingia msituni kwa shughuli za ugaidi.
Kauli hiyo aliitoa juzi wilayani Mpwapwa kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inayoendelea mkoani Dodoma.
“CHADEMA wanaandaa vijana kupitia Red Brigade ili kuingia msituni na kuchukua madaraka ya nchi kwa...
11 years ago
Habarileo09 Jun
Nape aibomoa Chadema Chuo Kikuu
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amepeleKa ‘msiba’ Chadema, baada ya kusomba wanachama wa chama hicho wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut), tawi la Mwanza, wakiongozwa na Rais wa Serikali ya Wanafunzi (Sautso), Philbert Saimon.
10 years ago
Vijimambo20 Jun
Chadema: Nape anaota ndoto za mchana.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-20June2015.jpg)
Kauli ya Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, kudai chama chake kitaendela kuongoza nchi hata kama ni kwa kura za wizi, chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibuka na kumjibu kuwa hizo ni ndoto za mchana.
Akizungumza na NIPASHE kwenye ofisi za Chadema Wilaya ya Chato, Katibu wa Baraza la Vijana Chadema Taifa (Bavicha), Julius Mwita, alisema chama chake kipo kwenye...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Nape: CHADEMA wanatumia UKAWA kuficha migogoro
Na Bashir Nkoromo
KATIBU wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amefichua siri ya viongozi wa juu wa CHADEMA kujificha nyuma ya kivuli cha Kundi la Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Amesema CHADEMA kinakabiliwa na migogoro mizito inayotokana na uchu wa madaraka na kwamba hatua ya kukumbatia UKAWA ni kuwapumbaza wanachama wake.
Alisema sio kweli kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, wana nia na dhamira ya dhati ya muungano huo ili kusaidia...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s72-c/4.jpg)
NAPE ALAANI VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lr7LWGYvO4g/UvVAls_coFI/AAAAAAAALy4/gaikn9VKfDQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cezf7fOjZG4/UvVCtJMuejI/AAAAAAAALzU/2zV13GR40JU/s1600/2.jpg)