Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema: Nape anaota ndoto za mchana.

Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye.
Kauli ya Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, kudai chama chake kitaendela kuongoza nchi hata kama ni kwa kura za wizi, chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibuka na kumjibu kuwa hizo ni ndoto za mchana.

Akizungumza na NIPASHE kwenye ofisi za Chadema Wilaya ya Chato, Katibu wa Baraza la Vijana Chadema Taifa (Bavicha), Julius Mwita, alisema chama chake kipo kwenye...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Haki kwa wakati ni ndoto ya mchana?

>Usemi wa wanasheria kwamba ‘haki iliyocheleweshwa ni sawa na haki iliyokosekana’ hapa nchini hauzeeki. Malalamiko ya kunyimwa haki au kuchelewesha haki hizo yamekuwa yakijitokeza kila kukicha na sasa yanakuwa kama ni ya kawaida.

 

9 years ago

Mwananchi

Sera za kila Mtanzania kuwa tajiri ni ndoto za mchana

"Siku zote tajiri ndiye atakayeamua huyu alipwe mshahara kiasi gani, huyu apate kiasi gani. Na itaendelea kuwa hivyo mpaka wafanyakazi wamgomee, waje juu waseme; “Wewe siyo tajiri mzuri!” Sijui kama kuna tajiri mzuri na tajiri mbaya, na hivyo nawaambieni kwamba hakuna tajiri mzuri, matajiri wote ni wezi!”

 

9 years ago

Vijimambo

Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema. Upande wa pili wa simu alizungumza mtu mwenye sauti nzito; Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). “ Mzee, nakukaribisha Chadema ili uongeze nguvu Ukawa”. Ndiyo ujumbe mfupi ambao Mbowe alimpa Lowassa siku hiyo.
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema wamshukia Nape.

Kufuatia kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, (pichani) kudai vijana wa ‘Red Brigade’ wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaandaliwa kijeshi kwa lengo la kufanya ugaidi, chama hicho kimeibuka na kumkemea kiongozi huyo wa chama tawala.

Akizungumza na vijana wa chama hicho mjini Tabora juzi, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, alisema mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa chama hicho ni ya kuwajengea ukakamavu na ujasiri ili wawe...

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE: MAANDAMANO CHADEMA NI BIASHARA



  Adai huuzipeleka picha za vurugu nje ya nchi  Adai Chadema wanafanya ili kukinusuru chama chao  Awatuhumu kuwatoa kafara waandamanaji  Asisitiza laaana ya damu za Watanzania hazitawaacha.

 

9 years ago

TheCitizen

Loser to Nape gets Chadema nomination

The demon of defections continues to mess up CCM, with the latest case being that of the unsuccessful parliamentary aspirant for Mtama Constituency in Lindi Region who yesterday announced he has decamped to Chadema

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wamjia juu Nape

John MnyikaCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye kutaja hadharani majina ya mataifa, watu na vyama vya upinzani, anavyodai vimepewa fedha na mataifa ya kigeni ili vivuruge mchakato wa Katiba mpya.

 

10 years ago

Habarileo

Nape-Maandamano ni biashara Chadema

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema vyama vya upinzani nchini vimeshindwa kufanya kazi za siasa badala yake vimegeuka kuwa vya wanaharakati. Aidha ametaka maandamano yanayohamasishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yapuuzwe kwa kile alichosema ni biashara ya kuuza picha za vurugu nje ya nchi kwa ajili ya kupata misaada kutoka mataifa makubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hivi Lowassa na ulanguzi umeme bado anaota urais?

KWA wanaokumbuka ndoa ya Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na Kampuni ya kitapeli ya Richmond iliyosababisha atimuliwe madarakani, hawana shaka kuwa ndoa hii haiwezi kuvunjika. Hata ikivunjika, bado mirindimo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani