Sera za kila Mtanzania kuwa tajiri ni ndoto za mchana
"Siku zote tajiri ndiye atakayeamua huyu alipwe mshahara kiasi gani, huyu apate kiasi gani. Na itaendelea kuwa hivyo mpaka wafanyakazi wamgomee, waje juu waseme; “Wewe siyo tajiri mzuri!†Sijui kama kuna tajiri mzuri na tajiri mbaya, na hivyo nawaambieni kwamba hakuna tajiri mzuri, matajiri wote ni wezi!â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
KILA MTANZANIA AJITOLEE KUWA BALOZI WA FISTULA – HALIMA KIEMBA
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Kijana tajiri Afrika ni Mtanzania
10 years ago
Vijimambo20 Jun
Chadema: Nape anaota ndoto za mchana.

Kauli ya Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, kudai chama chake kitaendela kuongoza nchi hata kama ni kwa kura za wizi, chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibuka na kumjibu kuwa hizo ni ndoto za mchana.
Akizungumza na NIPASHE kwenye ofisi za Chadema Wilaya ya Chato, Katibu wa Baraza la Vijana Chadema Taifa (Bavicha), Julius Mwita, alisema chama chake kipo kwenye...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Haki kwa wakati ni ndoto ya mchana?
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
10 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’
11 years ago
Habarileo29 Oct
Kila Mtanzania kuweza kupata simu ya kisasa
KILA Mtanzania nchini atakuwa na uwezo wa kupata simu ya kisasa na yenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini kabisa katika miaka mitano ijayo kuanzia mwaka 2020 kwa mujibu wa mipango ya kampuni mpya ya simu inayojiandaa kuingia katika soko la simu la Tanzania.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kila Mtanzania sasa anadaiwa Sh600,000