Haki kwa wakati ni ndoto ya mchana?
>Usemi wa wanasheria kwamba ‘haki iliyocheleweshwa ni sawa na haki iliyokosekana’ hapa nchini hauzeeki. Malalamiko ya kunyimwa haki au kuchelewesha haki hizo yamekuwa yakijitokeza kila kukicha na sasa yanakuwa kama ni ya kawaida.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Jun
Chadema: Nape anaota ndoto za mchana.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-20June2015.jpg)
Kauli ya Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, kudai chama chake kitaendela kuongoza nchi hata kama ni kwa kura za wizi, chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibuka na kumjibu kuwa hizo ni ndoto za mchana.
Akizungumza na NIPASHE kwenye ofisi za Chadema Wilaya ya Chato, Katibu wa Baraza la Vijana Chadema Taifa (Bavicha), Julius Mwita, alisema chama chake kipo kwenye...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
JK ahimiza haki ipatikane kwa wakati
Rais Jakaya Kikwete amewataka wadau wa haki na sheria na vyombo vyote kushirikiana pamoja katika utendaji kazi, ili kuwawezesha walengwa kupata haki zao kwa wakati.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Sera za kila Mtanzania kuwa tajiri ni ndoto za mchana
"Siku zote tajiri ndiye atakayeamua huyu alipwe mshahara kiasi gani, huyu apate kiasi gani. Na itaendelea kuwa hivyo mpaka wafanyakazi wamgomee, waje juu waseme; “Wewe siyo tajiri mzuri!†Sijui kama kuna tajiri mzuri na tajiri mbaya, na hivyo nawaambieni kwamba hakuna tajiri mzuri, matajiri wote ni wezi!â€
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Utumishi wa Umma tendeni haki kwa wakati
PAMOJA na mambo mengine, kazi ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kupokea na kushughulikia rufaa na malalamiko ya watumishi wa umma, kufanya ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria, kanuni na...
5 years ago
MichuziRC Mongella: Watendaji Serikalini waelimishwe kutoa haki kwa wakati
Na Mbaraka KambonaMKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella ameishauri Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kuandaa mpango maalamu wa kutoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa Watendaji wa ngazi za mikoa ili waweze kutoa haki za wananchi kwa wakati.
Mongella alitoa rai hiyo katika kikao kifupi kilichofanyika baina yake na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza Aprili 20, 2020.
Akiongea katika kikao hicho...
Mongella alitoa rai hiyo katika kikao kifupi kilichofanyika baina yake na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza Aprili 20, 2020.
Akiongea katika kikao hicho...
10 years ago
CloudsFM01 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sZldSjBJXbE/XmXDm7V2iRI/AAAAAAALiJE/Z2_Ba_eJGnQ6dzGwuSHdxmK81xryoJUWACLcBGAsYHQ/s72-c/download-1.jpg)
Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Machi 8 , 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-sZldSjBJXbE/XmXDm7V2iRI/AAAAAAALiJE/Z2_Ba_eJGnQ6dzGwuSHdxmK81xryoJUWACLcBGAsYHQ/s400/download-1.jpg)
Tume inatambua...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s72-c/IMG-20150415-WA0024.jpg)
NEWZZ ALERT; WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA KWA MAZISHI MCHANA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s1600/IMG-20150415-WA0024.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uIyJDVPEHco/VS40KFfYyFI/AAAAAAAHRPQ/TxKVrru3pkI/s1600/IMG-20150415-WA0026.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Kanali Mstaafu Issa Machibya akisoma salamu za rambi rambi za mkoa wakati wa kuaga miili ya Wanafunzi na...
10 years ago
Michuzi12 Oct
KINANA ANYWA CHAI NYUMBANI KWA BALOZI WA SHINA, MSOSI WA MCHANA KWA MAMA LISHE IRINGA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania