KINANA ANYWA CHAI NYUMBANI KWA BALOZI WA SHINA, MSOSI WA MCHANA KWA MAMA LISHE IRINGA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipata mlo nyumbani kwa Balozi Lucas Mtumbuka (kushoto)wa Shina namba moja eneo la Mkimbizi, alipokwenda kumtembelea yeye na wananchama wake wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Jimbo la Iringa Mjini.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akichukua mhogo ambao ni sehemu ya vyakula alivyoandaliwa na balozi. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Kinana anywa chai nyumbani kwa balozi wa shina, ala msosi kwa mama lishe Iringa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipata mlo nyumbani kwa Balozi Lucas Mtumbuka (kushoto)wa Shina namba moja eneo la Mkimbizi, alipokwenda kumtembelea yeye na wananchama wake wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Jimbo la Iringa Mjini.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akichukua mhogo ambao ni sehemu ya vyakula alivyoandaliwa na balozi.
Watoto wakipanda kwenye uzio wa nyumba ili wapate...
10 years ago
Michuzi05 Oct
KINANA AMTEMBELEA BALOZI KOMBO WA SHINA LA CCM TANGA
5 years ago
MichuziJAFO AWAPONGEZA KISARAWE KWA UBUNIFU WA TAMASHA LA MAMA LISHE, ATOA MAAGIZO KWA WAKURUGENZI WOTE
Jafo ametumia nafasi hiyo kuwataka wakurugenzi wa halmashiri zote nchini ambao wataoshindwa kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake, walemavu na vijana watachukuliwa hatua ikiwemo ya kutumbuliwa.
Akizungumza...
10 years ago
VijimamboPATA TASWIRA CHAI YA EID AL FITR NYUMBANI KWA TAHIR BILAL BROOKLYN NEW YORK
Meza ilipendeza kwa chakula cha Kitanzania chenye asiri na nakish nakish ya visiwa vya karafuu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y3Fxk04B81M/Xsy3eRtcERI/AAAAAAALriQ/QsxI0ighf3oYyY3eATWsS5bJHxVDhXWVwCLcBGAsYHQ/s72-c/kabidhi.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE
NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...
11 years ago
Michuzi03 Feb
KINANA AZURU NYUMBANI KWA MAREHEMU DK. MGIMWA
![](https://3.bp.blogspot.com/-Uq4d6M7O528/Uu_Sg6VGZWI/AAAAAAAAje8/BgjOLDtcyJY/s1600/1.+Kinana+akimsalimia+Mama+wa+Mgimwa.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-TlJF4wrvNdo/Uu_SiqTuOMI/AAAAAAAAjfE/rZfDyRU0XBA/s1600/2.+Kinana+akizungumza+na+familia+ya+Mgimwa.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-6TPqJis_G9s/Uu_SkXJgRjI/AAAAAAAAjfM/cTGvGoWO6_c/s1600/3.+Kinana+akimuaga+mama+Mgimwa.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-jnW5O9SubyY/Uu_SpS2jk7I/AAAAAAAAjfU/ZEWye1hiLgs/s1600/4.+Kinana+akimsemesha+Mama+Mgimwa.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zrWi9M1SDVU/Uu_SrT7N9iI/AAAAAAAAjfc/2FQXGEIWu5g/s1600/5.+Kilio+tena+nyumbani+mwa+mgimwa.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Jan
10 years ago
Dewji Blog13 Oct
Kinana ahitimisha ziara kwa kishindo Iringa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia huku mkono wake ukiwa umefungwa POP, katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa jana kuhitimisha ziara ya siku sita mkoani Iringa ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano na wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa leo wa...