KINANA AZURU NYUMBANI KWA MAREHEMU DK. MGIMWA
Katibu Mkuuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mama Mzazi wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, Consolata Mgovano, alipokwenda nyumbani kwa marehemu Mgimwa, Kijiji cha Magunga, jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, leo jioni. Wengine ni watoto wa marehemu Mgimwa, Stanisla Mgimwa, na Rozalina Mgimwa.
Kinana akizungumza na familia huyo ya marehemu Mgimwa. Wapili kushoto ni Johakim Mgimwa
Kinana akimuaga Mama Mgimwa baada ya mazungumzo
Kinana akiaga
Mmoja wa wanafamilia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6JBqD9ldCPnGpbrlI2LiVYy0iuFpGB10gxydG86m1cZnj-bwWQvUYNWz5l*MNYcEmb8Rd89gphZ3mvIMY-rdnSd/IMG20140529WA0018.jpg?width=650)
NI VILIO, SIMANZI NYUMBANI KWA MAREHEMU RECHO
11 years ago
GPLMATUKIO YA NYUMBANI KWA MAREHEMU GURUMO LEO
10 years ago
GPL01 Mar
11 years ago
GPLYALIYOJIRI JANA NYUMBANI KWA MAREHEMU MAALIM GURUMO
11 years ago
GPLBAADHI YA WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU GEOGRE TYSON
11 years ago
GPLMATUKIO NYUMBANI KWA MAREHEMU KUAMBIANA ‘BUNJU B’ DAR
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.
Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...