Kila Mtanzania kuweza kupata simu ya kisasa
KILA Mtanzania nchini atakuwa na uwezo wa kupata simu ya kisasa na yenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini kabisa katika miaka mitano ijayo kuanzia mwaka 2020 kwa mujibu wa mipango ya kampuni mpya ya simu inayojiandaa kuingia katika soko la simu la Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’
ELIMU ndiyo ufunguo wa maisha, binadamu aliyekamilika hapa duniani ili awe kamili lazima awe na elimu ya mazingira yanayomzunguka, ndiyo maana vitabu vya Mungu vyote vinahimiza umuhimu wa elimu.
Unapoitaja elimu kwa muktadha wa wa mwanga katika jamii, unaongeza umuhimu wake kwa kila mwenye fursa ya kuipata bila kujali umri, hali ya kiuchumi na jinzia.
Kumekuwepo na tatizo la watu waliopita umri wa kuanza shule ya msingi ambao ni miaka saba, serikali ikabaini hilo tatizo na kuanzisha...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kila Mtanzania sasa anadaiwa Sh600,000
Wakati Serikali ikibanwa na wabunge kwa kushindwa kutekeleza Bajeti ya mwaka 2013/14 kutokana na kutegemea fedha za wahisani, Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara imesema deni la taifa limeongezeka kwa Sh8.2 trilioni kwa kipindi cha miezi saba tu.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Sera za kila Mtanzania kuwa tajiri ni ndoto za mchana
"Siku zote tajiri ndiye atakayeamua huyu alipwe mshahara kiasi gani, huyu apate kiasi gani. Na itaendelea kuwa hivyo mpaka wafanyakazi wamgomee, waje juu waseme; “Wewe siyo tajiri mzuri!†Sijui kama kuna tajiri mzuri na tajiri mbaya, na hivyo nawaambieni kwamba hakuna tajiri mzuri, matajiri wote ni wezi!â€
10 years ago
Michuzi09 Jan
ARUSHA KUPATA MIJI MIWILI YA KISASA-NHC
Pichani.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Vietnam kuleta simu za kisasa
KAMPUNI ya Viettel ya Vietnam, inakusudia kuingia katika soko la simu la Tanzania kwa kuleta simu za kisasa zenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini katika miaka mitano...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGAPfZHPKzLg41rcfB1IDBNUa-kV*2l1culUG4XcoH4NqCcH7AUlCrDNzL6sQsVIVFMJvNo7*VOWjwoQBpEtnTG8P/nyerere.jpg?width=650)
WAKATI UMEFIKA KILA MTANZANIA AWEKE MBELE AMANI NA UTAIFA
Uchaguzi mkuu wa nchi hapa kwetu tunaweza kusema ni shughuli inayofanyika kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi una sehemu ndogo katika maisha yetu kuliko amani. Tukikaa bila amani tutavurugikiwa, tutashindwa kufanya uzalishaji na hakika tutakufa, kwa sababu ni lazima kula kila siku.
Jamii nyingi duniani zimeishi kwa muda mrefu bila kuwa na haki ya kushiriki katika uchaguzi na watu wake hawakufa kwa njaa. Kwa mantiki hiyo,...
10 years ago
Vijimambo22 Sep
AVATAR DENTAL CARE,HUDUMA YA MENO 50%OFF KWA KILA MTANZANIA
DR. TAALIB, NI MIONGONI MWA WATAALAMU WA AFYA WALIYOGUSWA KUBORESHA UPATIKANAJI WA HUDUMA MUHIMU ZA AFYA YA JAMII HASA KWA WAHAMIAJI. DR. TAALIB AMEAHIDI KUTOA HUDUMA YA AFYA YA MENO 50% OFF KWA KILA MTANZANIA MUHITAJI
KWA NIABA YA WOTE, UONGOZI WA DMV UNATANGULIZA SHUKRANI...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania