Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKATI UMEFIKA KILA MTANZANIA AWEKE MBELE AMANI NA UTAIFA

Uchaguzi mkuu wa nchi hapa kwetu tunaweza kusema ni shughuli inayofanyika kila baada ya miaka mitano.  Uchaguzi una sehemu ndogo katika maisha yetu kuliko amani. Tukikaa bila amani tutavurugikiwa, tutashindwa kufanya uzalishaji na hakika tutakufa, kwa sababu ni lazima kula kila siku.
Jamii nyingi duniani zimeishi kwa muda mrefu bila kuwa na haki ya kushiriki katika uchaguzi na watu wake hawakufa kwa njaa. Kwa mantiki hiyo,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe waweke mbele utaifa Bunge la Katiba

Leo Tanzania inaanza safari ya kuandika historia mpya ya kupata Katiba iliyotokana na Watanzania wenyewe, safari hiyo itachukua siku 70 na kama italazimika kuongezwa, zitaongezwa 20 kukamilisha kazi hiyo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vyama vya siasa vyatakiwa kuweka utaifa mbele



Vyaonywa maslahi ya vyama yataiweka nchi pabaya
NA KHADIJA MUSSA
VIONGOZI wa vyama vya siasa watakaokwenda kukutana na Rais Jakaya Kikwete, wametakiwa kuweka mbele masuala yanayohusu taifa na si misimamo binafsi ya vyama vyao.
Aidha wasomi nchini wamempongeza Rais Kikwete kwa kukubali kukutana na viongozi wa vyamaa hivyo vya siasa kwa kuwa ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kutokuwa na ubaguzi hata kwa watu wasiomuunga mkono.
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukubali...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakati umefika wa kubadilisha mfumo wa elimu

Matokeo ya mitihani ya darasa la saba imetoka, tumejisifu kuwa tumefaulisha zaidi ya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani huo, lakini tunasahau kuwa waliofeli pia ni karibu ya nusu kwani waliofaulu ni 451,392 na waliofeli ni 356,693.

 

10 years ago

Vijimambo

Mchezo wa karata : umefika wakati kuwekewa kanuni zake.


MCHEZO wa karata ambao umekuwa ukichezwa kama sehemu ya starehe, wakati umefika kwa Zanzibar kuweka kanuni na kuwekea kombe maalumu ili wachezaji waone faida yake, kama hawa wa maskani ya wazee wa CCM Mkoani wakisafiri kwenye mchezo huo kwenye maskani yao (picha na Haji Nassor, Pemba)

 

5 years ago

CCM Blog

ZARIF: UMEFIKA WAKATI WA DUNIA KUUNGANA KATIKA KUKABILIANA NA UBAGUZI WA RANGI

Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangiWaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe katika mtandao wa Twitter akiashiria mauaji ya kusikitisha yaliyofanywa na polisi ya Marekani dhidi ya Mmarekani mweusi ambaye hakuwa na silaha ya aina yoyote katika mji wa Minneapolis na kusema: Umewadia wakati wa dunia kuungana kwa ajili ya kukabiliana na ubaguzi wa rangi.Muhammad Javad Zarif ameashiria jinsi maisha ya Wamarekani weusi yanavyopuuzwa nchini Marekani na kuandika kuwa, kwa muda mrefu sasa suala la kupambana...

 

10 years ago

Michuzi

WAKATI UMEFIKA KWA SEKTA BINAFSI KUJENGA UTAMADUNI WA KUTOA RUZUKU ZA TAFI- DR.SHEIN

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akilifungua rasmi Jengo Jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania { COSTECH} Ofisi ya Zanzibar liliopo ndani ya majengo ya zamani ya ilichokuwa kiwanda cha Sigara Maruhubi Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Balozi Seif wa pili kutoka Kushoto akipata maelezo kutoka kwa Wataalamu  wa Chuo cha Utafiti Kizimbani  wakiongozwa na Said Suleiman Bakari jinsi zao la viazi vitamu linavyoweza kutumiwa vyema katika utengenezaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

9 years ago

Raia Tanzania

‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’

ELIMU ndiyo ufunguo wa maisha, binadamu aliyekamilika hapa duniani ili awe kamili lazima awe na elimu ya mazingira yanayomzunguka, ndiyo maana vitabu vya Mungu vyote vinahimiza umuhimu wa elimu.

Unapoitaja elimu kwa muktadha wa wa mwanga katika jamii, unaongeza umuhimu wake kwa kila mwenye fursa ya kuipata bila kujali umri, hali ya kiuchumi na jinzia. Kumekuwepo na tatizo la watu waliopita umri wa kuanza shule ya msingi ambao ni miaka saba, serikali ikabaini hilo tatizo na kuanzisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani