WAKATI UMEFIKA KILA MTANZANIA AWEKE MBELE AMANI NA UTAIFA
![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGAPfZHPKzLg41rcfB1IDBNUa-kV*2l1culUG4XcoH4NqCcH7AUlCrDNzL6sQsVIVFMJvNo7*VOWjwoQBpEtnTG8P/nyerere.jpg?width=650)
Uchaguzi mkuu wa nchi hapa kwetu tunaweza kusema ni shughuli inayofanyika kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi una sehemu ndogo katika maisha yetu kuliko amani. Tukikaa bila amani tutavurugikiwa, tutashindwa kufanya uzalishaji na hakika tutakufa, kwa sababu ni lazima kula kila siku. Jamii nyingi duniani zimeishi kwa muda mrefu bila kuwa na haki ya kushiriki katika uchaguzi na watu wake hawakufa kwa njaa. Kwa mantiki hiyo,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Wajumbe waweke mbele utaifa Bunge la Katiba
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Vyama vya siasa vyatakiwa kuweka utaifa mbele
Vyaonywa maslahi ya vyama yataiweka nchi pabaya
NA KHADIJA MUSSA
VIONGOZI wa vyama vya siasa watakaokwenda kukutana na Rais Jakaya Kikwete, wametakiwa kuweka mbele masuala yanayohusu taifa na si misimamo binafsi ya vyama vyao.
Aidha wasomi nchini wamempongeza Rais Kikwete kwa kukubali kukutana na viongozi wa vyamaa hivyo vya siasa kwa kuwa ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kutokuwa na ubaguzi hata kwa watu wasiomuunga mkono.
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukubali...
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Wakati umefika wa kubadilisha mfumo wa elimu
10 years ago
VijimamboMchezo wa karata : umefika wakati kuwekewa kanuni zake.
MCHEZO wa karata ambao umekuwa ukichezwa kama sehemu ya starehe, wakati umefika kwa Zanzibar kuweka kanuni na kuwekea kombe maalumu ili wachezaji waone faida yake, kama hawa wa maskani ya wazee wa CCM Mkoani wakisafiri kwenye mchezo huo kwenye maskani yao (picha na Haji Nassor, Pemba)
5 years ago
CCM Blog31 May
ZARIF: UMEFIKA WAKATI WA DUNIA KUUNGANA KATIKA KUKABILIANA NA UBAGUZI WA RANGI
![Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangi](https://media.parstoday.com/image/4bv9d72ebfcb3f1nwhl_800C450.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GI4zhW8GdcY/VbeI3a2pTvI/AAAAAAAHsQk/hJ-yk2vlOn4/s72-c/070.jpg)
WAKATI UMEFIKA KWA SEKTA BINAFSI KUJENGA UTAMADUNI WA KUTOA RUZUKU ZA TAFI- DR.SHEIN
![](http://1.bp.blogspot.com/-GI4zhW8GdcY/VbeI3a2pTvI/AAAAAAAHsQk/hJ-yk2vlOn4/s640/070.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wHzS7_q4zCE/VbeI134BBoI/AAAAAAAHsQc/sywpTNa-UB0/s640/092.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’